Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kumbuka jk aliajiri walimu na madaktari wote bila kubaki mtu kila mwaka na ndo mana ajira hizi wanasema kuanzia 2015 which means chini ya hapo wote wameshaajiriwa na ndo ukweli. Jpm akaja kupiga Pini ajira zote kila mwaka kama jkHuyu anaye ongea hapa inawezekana yupo kwenye TV hata sio mtu wa kusafiri, hivi waajiriwa wapya wangeenda wapi kama si hizo hospital za wilaya ambazo nyingi tena zaidi ya asilimia 80 zimejengwa kipindi cha JPM,nyingine ujenzi wake zikifikia 50%.Hivi unajua ofisi nyingi za wakuu wa wilaya na wakuu wa mkoa nyingi zimejengwa hawamu ya Magu ambazo nazo zinasubiri waajiriwa,hivi unafahamu mahakama kila wilaya ktk mikoa yote nyinyi zimejengwa kipindi cha Magu.
Najua umekaa kwenye TV na kushinda humu JF na Social media kiwasikiliza wanasiasa uchwala,hao wanao ajiliwa wanaenda kukaa kwenye miundo mbinu iliyojengwa enzi ya Magufuli.Tatizo lenu mnapenda kusimuliwa ila sisi tunao safiri mikoani tunajua umuhimu wa yule mtu kwani aliyo yafanya yanaonekana so we endelea kufuga Mimba ya Chuki ya Mwendazake.
Brother mimi sio kama ww mpaka usimuliwe,mimi kazi zangu za kusafiri nacho kiongea nimekiona,sasa hao waajiriwa wapya bila haya majengo wangeenda kukaa wapi? Hivi unajua kuna hospital kibao zipo zimekamilika bado kufungwa vifaa tuu,serikali inahangaika kutafuta hela.Kumbuka jk aliajiri walimu na madaktari wote bila kubaki mtu kila mwaka na ndo mana ajira hizi wanasema kuanzia 2015 which means chini ya hapo wote wameshaajiriwa na ndo ukweli. Jpm akaja kupiga Pini ajira zote kila mwaka kama jk
JPM akiishi anaishi, akifa nikama anaishi!Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.
Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.
Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.
Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Shetwani yuleJPM akiishi anaishi, akifa nikama anaishi!
Nikikuta mwalimu anapambana na nyoka, nitamsaidia nyoka.Tukiwaambia JPM aliharibu nchi nyie sukuma gang muwe mnaelewa. Chukumia mfano tu huu am ambapo JPM miaka yake yote haajiri Wala kupandisha madaraja lakini kila siku anatupiga fix eti tuko uchumi wa kati.
Sasa angalia madhara yake karundika magraduates mtaani kiasi ya kwamba mama anastrugle sana angalau kuwapa ajira kwa kupanua wigo wa private sector kwa kuwawekea mazingira mazuri mazuri pasi na yule bwana anawafukuza tu eti wezi huku watu wanakufa njaa.
Yaani angekuwepo mpaka Sasa maana yake ingekuwa disaster ilifikia hatua ambapo graduate analipwa laki moja kisa ushindani ni mwingi sana kazi moja applicants mia.
Tunamshukuru Mungu anagallau tunaona mwanga mbele slowly tutarudi enzi za JK ambapo walimu na madaktari wote walikuwa wanaajiriwa bila shida na bila kunakiza mtu
Naunga mkono hoja
Asante mwalimu wa Uraia na Maadili Darasa la tatuwalimu kwa kuungana mkono kweny pumba mko vizuri ila kwenye kudai maslahi yenu mnakimbiana
acha makasiriko vyeti feki, 😁😁😁😁😁😁Usomi gani wewe mshenzi,Kwa hiyo wewe alichokuwa anafanya yule mtu wenu ni sawa?
Ulitaka aongee Nini!!? Kasema ukweli JPM aliharibu Sana ila wapumbavu hawaelewi!! Haijawahi kutokewa 6 years nchi isiajiriUsomi wako haujakusaidia epuka personal attack
Huwezi kuamini Kuna wapumbavu wanamsifiaYule mtu wenu alikuwa hamnazo aisee, private sector aliua, Serikalini aliacha kuajiri, mtu ukijiajiri TRA wanakukamua unarudi kuwa chinga.
Mbaya sana hii aisee,hizi mambo zinaweza kukupa unemployment rates na hapo ni kada mbili tuu za Afya na Elimu.
JK alianza kujenga uchumi mzuri wa watu kuanza kujiajiri lakini Jamaa aliharibu Kila kitu, sasa mama ana struggle kujaribu kuwaaminisha Vijana kwamba Kuna maisha Kwa kujiajiri Kwa kuwarahisishia mazingira ya kufanya biashara.
Yule jamaa yenu bora alikufa aisee,watu wangeanza kukimbia Nchi kama Ethiopia au huko Western na kufa njiani.
Kaongea ukweli na Kwa hasira!! JPM alikuwa mharibifuHuyu ni mwalimu tena wa digrii!! Kazi ipo!
Laki nneLeta takwimu zinazoonesha kuwa walimu laki Moja wameshaomba mpaka leo ....
Hajielewi huyoKuna Vyuo vingapi vinatoa taaluma ya ualimu kuanzia ngazi ya cheti Hadi Chuo Kikuu?
Piga hesabu kuanzia mwaka 2016 Hadi 2022 Kuna Vijana wangapi mtaani.
Alikanyaga mazaakoAliwanyoosha mkanyoka maana nyie ni majizi mnaiba hadi mnajiibia wenyewe JPM aliwakanyaga mno
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
UnambwatoHongera SANA kwa kuwa mpumbavu wa kwanza
Hivi huwaga mnaelewa mnachoandika!?Mkuu swala la ajira ni janga la dunia nzima! Hata angekuja Rais gani.
Mimi nadhani serikali ifikirie kuwakopesha mitaji graduates ili wajiajiri.
Haiwezekani nchi haina viwanda vya kutosha,Raslimali za nchi na vyanzo vingine vya mapato viko mikononi mwa wageni (Wawekezaji wa kigeni),harafu ,tutegemee eti itaajiri graduates wote!
Mkuu usiniparue na makucha,hayo ni maoni yangu!
Mazingira hayaruhusuNaomba kujiajiri liwe suala la kipaumbele kuliku kuajiriwa