Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hawataki kazi yoyote zaidi ya hiyo ya uwalimu.Ety watu wanaunda umoja wa waalimu wasio na ajira(NETO)
Hivi kazi zote hizi kitaa wewe una shahada unashindwa kufanya mpaka ulalamike??
Ajira hakuna ila kazi ni nyingi tumieni akili
Saidia fundi kwenye ujenzi.Labda hawataki kazi yoyote zaidi ya hiyo ya uwalimu.
Tuwekee hizo kazi zilizojaa huko kitaa kwanza ili kesho tuzifuate.
Kwahiyo mnataka wimbi lote la wasio na ajira waende wakusaidie fundi? Hivi mmeshawahi kukaa na kupiga hesabu hata za roughly tu ya vijana wanaomaliza vyuo kwa Kila mwaka na ajira zinazotoka huwa ziko na uwiano gani?.Saidia fundi kwenye ujenzi.
Bodaboda...
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Ety watu wanaunda umoja wa waalimu wasio na ajira(NETO)
Hivi kazi zote hizi kitaa wewe una shahada unashindwa kufanya mpaka ulalamike??
Ajira hakuna ila kazi ni nyingi tumieni akili
Vip mpango wako wa kwenda kusoma diplomaEty watu wanaunda umoja wa waalimu wasio na ajira(NETO)
Hivi kazi zote hizi kitaa wewe una shahada unashindwa kufanya mpaka ulalamike??
Ajira hakuna ila kazi ni nyingi tumieni akili
Nilivosoma kichwa Cha habari,Kwa hii hatua tusaidie kufikiria kwa kweli🤣
HeheheUkiwa umeshiba unaona watu wengine ni wajinga
Nataka nikuoe kwanza Aisha ndio nikasome Naona una features za kike umbea umbeaVip mpango wako wa kwenda kusoma diploma
Poa olewa kwanzaNataka nikuoe kwanza Aisha ndio nikasome Naona una features za kike umbea umbea
Soma vizuri bi khadijaPoa olewa kwanza
Yeah ni maamuzi sahihi olewa tuSoma vizuri bi khadija
Kaa Kwa kutulia mnufaika wa mfumo mbovu wa Ma CCM. Roho mbaya nyie, mambo yamewashinda mnang'ang'ana kuongoza Nini?? Mbwa nyie akina mkenda na kimbwa kingine ki simbachawene. Ndg zenu wanakula teuzi za ubalozi n.k unalalama Nini?? Acha watu wadai haki Yao. Hii nchi yetu sote na si mali ya akina ninyi.Ety watu wanaunda umoja wa waalimu wasio na ajira(NETO)
Hivi kazi zote hizi kitaa wewe una shahada unashindwa kufanya mpaka ulalamike??
Ajira hakuna ila kazi ni nyingi tumieni akili
Na ndio mzizi wa tatizo, watu wengi wasichokijua ni kuwa serikali haiwezi kuajiri graduates wote.Wengi wanasoma kwa ajili ya kuajiriwa. Shida ndo inaazia hapo.. 🙂 🙂