Mamy7
Member
- Apr 18, 2023
- 21
- 29
Nilijaza address ya nilipo,sijui nini kimetokea.Maana kusafiri hadi Dar na ni interview ya watu wengi hivyo ukikosa nauli inapotea bureinategemea wewe ulijaza address ipi wengi wamepangiwa sehemu za karibu ana walipo na mikoa husika