Nilijaza address ya nilipo,sijui nini kimetokea.Maana kusafiri hadi Dar na ni interview ya watu wengi hivyo ukikosa nauli inapotea bureinategemea wewe ulijaza address ipi wengi wamepangiwa sehemu za karibu ana walipo na mikoa husika
Nilijaza address ya nilipo,sijui nini kimetokea.Maana kusafiri hadi Dar na ni interview ya watu wengi hivyo ukikosa nauli inapotea bure
Izo account mnazipata kwenye link ipi ?Nimesahau pasword ya account nawezaje ku access,nimejaribu option ya forgot password imegoma.
Izo account mnazipata kwenye link ipi ?
Kwani hizi kazi zilitangazwa utumishi au mbona sijawahi kuziona
Aisee Niko mtaani since 2015 natokaje [emoji24]Kama upo mbali na mitandao au kama cycle yako sio ya waombaji kazi sio rahisi kuziona au kujua,hata hawa walioitwa kwenye interview kuna watu hawatajua na interview itawapita.
Zilitangazwa na TRA mwaka huu around mwezi wa 5-6 .
TRA hapo wamekopi tu yale maelezo wanayotoaga utumishi, ila kwa uhalisia hizo namba hawajawekakuna maeelezo yanasema tuingie kwenye account zetu na kunakili namba ya usaili.... tuinapata wapi namba ya usaili alie elewa msaada
Hata Mimi inakataa Ku reset password, labda tusubiri mpaka kesho J3 system huenda unakaa sawa.Nimesahau pasword ya account nawezaje ku access,nimejaribu option ya forgot password imegoma.
Zile namba hawajaingiza nimeangalia profile za watu kama watatu waliochaguliwa lakini hawajaingiziwa namba za usaili.kuna maeelezo yanasema tuingie kwenye account zetu na kunakili namba ya usaili.... tuinapata wapi namba ya usaili alie elewa msaada
Mkuu sasa majibu ya hili ulilouliza si umelijibu hapo hapo? Ingia kwenye account yako au cheki E Mail yako wanatuma.kuna maeelezo yanasema tuingie kwenye account zetu na kunakili namba ya usaili.... tuinapata wapi namba ya usaili alie elewa msaada
Mkuu mimi nimetumiwa kwenye email address yangu kuweni na subira ingieni kwenye barua pepe zenu zitatumwa tuZile namba hawajaingiza nimeangalia profile za watu kama watatu waliochaguliwa lakini hawajaingiziwa namba za usaili.
tafuta barua ya utambulisho ya serikali za mitaaaWakuu hivii katika vile vitambulisho walivyovitaja pale kama mtu huna hata kimoja inakuaje...... au unaweza kwenda na barua ya utambulisho kutoka sherikali za mitaa?
TRA hapo wamekopi tu yale maelezo wanayotoaga utumishi, ila kwa uhalisia hizo namba hawajaweka