Ajira mpya za Utumishi zinachanganya. Matangazo yametoka mawili, lipi ni sahihi?

Ajira mpya za Utumishi zinachanganya. Matangazo yametoka mawili, lipi ni sahihi?

Naona wanakosea kujulimlisha kupata total ndo wakarekebisha,apa naona wametoa kada ya afya wameandika 80 but zko zaid ya 90[emoji4]
 
Kweli mkuu but nikitaka kufahamu tu..

Coz Kuna wadau wangu hapa wa Sheria... Hizo posts zimewachanganya term ya idadi Kila pdf Ina idadi yake. Idadi ya post ni muhimu sana ili mtu ajua kuwa anaingia kinyang'anyiro Cha nafasi ngapi..
Ukishaona mtu anaandika coz. Xaxa ujue huyo ana matatizo
 
Ukishaona mtu anaandika coz. Xaxa ujue huyo ana matatizo
Unajiabisha wewe, kwa upande wako hiyo statement uliyoiandika unaamini iko sahihi, then unakuja kukaza fuvu kwa mwenzio..!! Doltish-stupid...!!!
 
Wadau, tarehe 28 May Utumishi walitangaza nafasi za kazi kwa watanzania kada mbalimbali ILA Kuna kitu kimenichanganya hapa kama ifuatavyo:

Haya matangazo yanaonesha yako mawili na hata idadi ya Ajira zinatofautiana, Kuna tangazo moja lina posts 1904 total na tangazo la pili lina posts 2057.

So Binafsi nashindwa kuelewa hapa, Why matangazo wametoa mawili na nafasi ni tofauti japo Kumb No: ya matangazo yote ni sawa/moja.

Pia nimejaribu kufuatilia content za humu ndani kwa Kila tangazo kweli posts ziko tofautitofauti kulingana na vitengo husika..

Nimeweka na ushahidi wa picha hapa na pdf maana Uzi bila picha haunogi.

Utumishi nipeni maelezo hapa, hizi Ajira mpya mlizotoa idadi kamili zipo 1904 au 2057 au 3963 Jumla?

Na kama ziko 3963 kwanini msitoe kwenye Tangazo moja?

View attachment 2246984View attachment 2246985
Kwa kifupi watakuwa wameupdate nafasi. So tangazo ni lile lile.
 
Back
Top Bottom