Walimu wenyewe ndio wale waliopata zero au dv. four ya mwisho unategemea nini, bora serikali iwapotezee tu
Hakuna ajuaye Ajira lini hapa tunafanya yanatoka. Walidai oooh tar15.humu ndani wote hatujui hapo tunajifanya tunajua Ajira lini
ajira zitatoka ila atujui ni mwezi wa ngapi? na ni tarehe ngapi? maana atabungeni akunambunge yeyote anaeulizia tujue.