alafu ujui hata kudanganya
aisee ki[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]Yaani mwalimu hujaajuriwa unaanza kuwa na mashaka na kudhulumiwa hela zako?
Kwanza upate ajira,
pili upate mshahara.
Mengine siyo ya msingi sana.
Karibu kwenye fani tukufu mwalimu.
tena ya chumba kimoja ka stooKila mtu ana Uhuru wa kutoa tamko lake si mnajua hii nchi ni geto??
Ni habari ya kweli. TSD wameshaanza kununua Na kuandaa vifaa vya usajili wa walimu wapya
hope ndani ya mwezi huu mambo yataenda vizuri kwa waalimu tarajiwa
kla mtu analijua hlo tangazo lnaeza likawa lmebuniwa tu kama mengne
aa ni kweli walimu tunatoa taarifa za uongo sana wewe unasema mwezi wa nne ajira kulipoti mwezi wa tano mm acha uongo