chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
- Thread starter
- #81
Chichimizi rafiki yangu acha uoga unapaswa kujua unapoweka majina katika list ili kuyachomoa ni lazima kufanya editing sasa unafikiri watafanyaje editing majina yakiwa hewani so vuteni subira mtajipa stress bure hlf baadaye majina yatolewe tena mr jumanne sagini hawezi kudanganya umma wa watanzania na tangazo liko wazi limeelezea matatizo ya uongozi wa sekomu katika kupeleka majina sahihi wizarani.
Sawa mkuu lakini ukipata muda kaaa chini then fikiriaaa vzr kuwaaa kama wewe ni mtaaluma ktk shule flani,then unaambiwa lete orodha ya wanafunzi waliomaliza shule mwaka jana,,hivi kweli wewe upekueee kwenye mashelifu ukute orodha ya mwaka juzi ndouipeleke kweli inamana hata majina ya wanafunzi wako uliokaanao miaka mitatu usiwajueeee hata mmoja?
aaaaaaaah jamani tusifanyiane hivyooooo hata sisi tunao uwezo mdogo wa kufikiri