Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Hakika tunaoishi kwa matumaini ya kusubiria ajira tunapitia changamoto sana asee, yani mimi ni wakupewa kibarua na mtu aliyeacha shule darasa la 5, hiki hakijaniuma sana kilichoniuma ni maneno yake kwamba shule nilienda kupoteza muda.
Daah!!! Ni lini hizi dharau zitaisha jamani
Daah!!! Ni lini hizi dharau zitaisha jamani