We umetoka kazini saiv umeshika simu unatype vitu huelewi vilipoanzi.Kumbe nyie hamtaki kufanya kazi bali kugawana keki duuuh hatariiii Sana kwa akili hizi mtasota sanaa
Huku private unaliwa kichwa mapema sana
Yaan wewe unawaza kugawana keki
Wewe kuajiriwa kwako huko umeongeza tija gani mpaka sasa?Kumbe nyie hamtaki kufanya kazi bali kugawana keki duuuh hatariiii Sana kwa akili hizi mtasota sanaa
Huku private unaliwa kichwa mapema sana
Yaan wewe unawaza kugawana keki
Wanapishana choon au?Kwa mfumo wa mikataba itawezekanaπ kila baada ya miaka 5 watu wanapishana.
Hahahaha π pole sana kumbe mnagombania keki wapumbavu wakubwaWe umetoka kazini saiv umeshika simu unatype vitu huelewi vilipoanzi.
Unadandia SGR in front thatβs kinda guts mamen.
Usiongee ilimradi uonekane unasauti na wewe sometimes jua vitu elewa tafuta fact ongea.
Acha ushamba wa kubishana hovyo.
Kuna uzi wa yanga huko kwenye forum ya sports nenda kapige soga zisizokuwa Na mipango.
Wewe unafikir ukiajiriwa utaleta tija gani?Wewe kuajiriwa kwako huko umeongeza tija gani mpaka sasa?
Wazee wa kula kekiWewe kuajiriwa kwako huko umeongeza tija gani mpaka sasa?
Hahahaha π wanasema wanataka kwenda kula keki sio kufanya kazi yaan hawa vijana ni empty headUnapoteza muda na hii hoja. Unapaswa kutofautisha uendeshaji wa Serikali na kitu kama biashara ya hardware au kufyetua tofali. The more mtu akifanya kazi ndivyo anakua master wa hio kazi.
Zaidi sikuona mtu anasema anataka kwenda kuboresha nini ila imeelezwa kama ni mzunguko wa watu kuajiriwa Serikalini kwa ajili ya kupata fedha.
Kama unasema una elimu nzuri mbona usiombe hata huko private au ukajiajiri?
Unataka kua watu wewe kwa presha,Hizo pension funds Ndio zinazorotesha bongo za waajiriwa wengi maana wako almost 1000% guaranteed na matokeo yake maendeleo na mipango mikakati ya nchi haiendi inavyopaswa.
Aliepewa kazi, vision yake na mission yake ni mbingu na ardhi na aliempa hiyo kazi!!
Mtu yupo radhi afie ofisini kisa anafukuzia pension na sio Kwa sababu ana mchango husiozibika kwenye department yake!
System ya malipo na mafao yaweza kufuatwa ya private sector.
PPP inaweza kuwa Ndio mfunguzi wa njia pia.
πππππππNiko provate mzeeWanapishana choon au?
Kijana njoo private tule maisha huko serikalini mtauana bure kugombania ajira chache
Halafu mna mentality ya kula keki sio kufanya kazi
Mtasota sanaa na sasa hivi ni mwendo wa interview duuuh hatariiii mnoo
βKifo ni Kifo tuβ¦β- ββββUnataka kua watu wewe kwa presha,
Safi huku Private ni jitihada zako tuuπππππππNiko provate mzee
Kama Uko private kelele za nini sasa.Safi huku Private ni jitihada zako tuu
Nimewaachia vijana wagombanie hizo za serikali
Safi sana.Akili za jobless hizi
Kwani ajira zinapatikanaje ? Kama ni zile za mfumo wa usaili, ataepata hata akifia kazini ni haki yake. Na wewe pambana ukiitwa kwenye usaili.Kama Uko private kelele za nini sasa.
We presha itakuua, hujajipanga kustaafu pesa yote ya mshahara umeila unategemea kiinua mgongo ndy kije kukuokoa dakika za jioni.
Vijana tunataka mabadiliko bana, tokeni mmezeeka bana taifa haliendelei kwaajili yenu, no creativity no productivity ni Kula mshahara tu kila siku CAG report zinatoa taarifa za uwizi na ubadhilifu hamchukuliwi hatua, mmetuhujumu mno.
Itβs our turn now, mnapaswa muondoke tuanze mfumo mpya watu waajiriwe kwa mikataba angalau utendaji uwe unapimika na kutathmimika taifa angalau lipate maendeleo.
Sio wafanyakazi tu hata viongozi wa siasa tunapaswa kuwaajiri kwa mikataba sio wanashika nyazfa tu wanafanya vitu kwa mitazamo yao tu sisi kama taifa hatujui tunataka nimi tuko na hali gani na tunaelekea wapi.
Itβs a right time tuchange, kama suala la katiba mpya ni kigugumizi basi hili la mikataba likawe mbadala.
Superb fact. πͺπΌShida ya wafanya kaz wengi i wa serikali, akisha ajiriwa tu basi anaona Kisha ingia kwenye vinono nikutafuta wapiga dili wenzake anaofanya kazi nao na kuunda genge la rushwa na ulaji mali ya umma. Acha kunyanyasa walipa Kodi hilo ndio halisemeki. Kwa hiyo ni muhimu wawe na mkataba wa miaka mitano mitano itategenea ufanisi wake kazini.
Kuhusu stahiki za kustaafu ataendelea na makato huko atakapo pata kazi sehemu ingine hata kwenye sekta binafsi au kama kajiajiri. Akifika miaka ya kisheria kustaafu atafanyiwa hesabu za malimbikizo yake miaka yote na kupewa stahiki zake kama mstaafu
Enzi za kazi za milele bila ufanisi zimeisha pitwa.