Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Wazanzibari ni wabinafsi na wanyonyaji. Wao wanapenda kuwepo na Muungano wa kuwanufaisha wao tu. Yaani Muungano wa changu changu, chako changu.Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Ila zanzibar mmepewa hadhi ya juu ya kujitawala?Tanganyika ni nchi huru, Zanzibar ni nchi huru.
Tanganyika na Zanzibar ziliungana 1964 na kuunda JMT.
Hong-Kong sio nchi huru ni sehemu ya china iliyokuwa koloni la Uingereza kwa kipindi fulani cha miaka baada ya muda mrefu ilirudishwa chini ya nchi ya China.
Hong-Kong kama ilivyo Macau koloni la ureno hizi sehemu zote mbili zimepewa kiwango cha juu cha uhuru cha kujitawala tofauti na maeneo mengine ya uchina ni kwa kipindi fulani cha miaka.
Unaposema "mmepewa" una kusudia nini ?Ila zanzibar mmepewa hadhi ya juu ya kujitawala?
Zamani walikuwaga wanaandika awe na kitambulisho Cha mzanzibar mkaazi naona siku hizi wanakazia kabisa kwamba AWE MZANZIBAR maana yake hata ukiwa na kitambulisho Cha mkaazi ila sio mzanzibar hupati hiyo kazi.Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Wewe Zanzibar unaipa hadhi ya nchi au kakijioneo tu ?Ila zanzibar mmepewa hadhi ya juu ya kujitawala?
Racism ni ubaguziwa rangi ndiyo, lakini mleta mada alimaanisha ubaguzi.mnatumia tu maneno bila kuelewa maana yake, inawezaje kuwa racism wakati sisi na hao unaowaita wanzanzibari ni the same race? >95% ya wakazi wa Zanzibar ni black people kama sisi, how can they be racist against wabara then wakati wote ni same race ?
Nyie hamuwezi kujitawala bila bara mtapiga kelele ila bila bara nyie is lolote si chochoteUnaposema "mmepewa" una kusudia nini ?
Ni Discrimination.Hiyo ni Racism au Nepotism?
Unahisi mimi ni mzanzibari una matatizo wewe sio bure.Nyie hamuwezi kujitawala bila bara mtapiga kelele ila bila bara nyie is lolote si chochote
Wazanzibar hawana mchezo linapokuja suala la maslahi ya Taifa lao na watu wao!Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Ndugu umemjibu vizuri sana....maana hao CCM ndio wanang'ang'ania huo muungano wa ajabu na wa kipuuzi kabisa.Mshaambiwa hiyo ni Nchi nyingine, Ubwege wa kwenu Tanganyika msiwapelekee wengine
Za uongozi wa juu Kama zipi??Kwa ajira ndogo ndogo ndio wanasema lazima uwe mzanzibari lkn kwenye zile za uongozi wa juu hakuna masharti
Tanganyika tulilazimisha tena kwa hoja za hovyo kabisa.Nani anayelazimisha muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ?
CORRECTION: Hakuna race ya Utanzania,Uzanzibar au Utanganyika neno sahihi ungetumia kiswahili rahisi tuu UBAGUZIIkiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Shida siyo kuwa ajira chache swala ni kuwa tuna zungumzia mzani kubalance nwaz wote kutambulika kama watanzania .Mbona katika taasisi zinazohusu muungano wabara wapo wengi tu.
Tena ni zenye asali za nyuki wadogo kama BOT , TRA hata jeshini wapo wengi tu.
Hii wala sio ubaguzi ni ku balance tu, maana nchi ni ndogo sana so unaposema wabara wote wawe wanamiliki ardhi kule na watumishi kutoka bara waajiriwe kule kwa taasisi zisizohusu muungano kutakuwa hakuna wazanzibar tena.
Mbona mambo mengi bara wanafaidi huku tena uchumi mkubwa upo bara kuliko zanzibar.
Nikuulize unavijua viwango vya mishahara vya watumishi wa Zanzibar?
Ukiijua utaacha mdomo wazi.
Kiufupi Zanzibar hakuna uraia ni ukaazi tu wakati kabla ya Muungano Zanzibar kulikuwa na uraia wake mbona hamulitetei hilo na wakati ni nchi mbili zilizoungana?
Unapoleta mambo humu uwe unayapima kwa mizani ya uadilifu sio unaangalia upande mmoja tu.
Kwa ukweli wa mambo hata ajira zinazotoka kule sio nyingi kama za huku bara.
UraisZa uongozi wa juu Kama zipi??