Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Wadau katika hizi Ajira zilizoitangazwa na Serikali niliona Kuna Ajira za Sheria na Kilimo/Mifugo kama sikosei.
Ila mpaka Sasa hizo za sheria sijaona zinatangazwa.. sijajua hizo zingine za mifugo. Hivyo wadau zikitangazwa hizi za Sheria mnitaarifu mapema. Now naingia huko Chaka kufanya mavuno shambani.
Hizi za Afya na Ualimu deadline ya maombi inakaribia Ila hizi za SHERIA ni kimya sana
Ila mpaka Sasa hizo za sheria sijaona zinatangazwa.. sijajua hizo zingine za mifugo. Hivyo wadau zikitangazwa hizi za Sheria mnitaarifu mapema. Now naingia huko Chaka kufanya mavuno shambani.
Hizi za Afya na Ualimu deadline ya maombi inakaribia Ila hizi za SHERIA ni kimya sana