Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hatutaongeza neno ili kuepusha migongano , Jisomee mwenyewe
Majina yenyewe ni haya hapa
View attachment 2300250
Majina yenyewe ni haya hapa
View attachment 2300250
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa
Basi sawaNjaa
[emoji38][emoji38][emoji38]Yaani tanzania kila kitu ni ujanja ujanja sana!
Pole sanaDah yaani napatwa adi hasira na nipo mbeya apa apa.
Hii inchi ngumu sana..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Halafu unajisifu nimefanya usaili nimejibu maswali kwa ufasaha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Halafu unajisifu nimefanya usaili nimejibu maswali kwa ufasaha
Kijiji kikubwa kilicho changamkaDah yaani napatwa adi hasira na nipo mbeya apa apa.
ungamkono juhudi shauri yako mpaka mjukuu wako atakuja kuongozwa na CCM
Mi nimewaambia kule kwenye uzi haijalishi umejibu niniHii inchi ngumu sana..
Yani inasikitisha sn hali hii bora litokee tu la hivyo.Watu watachoka,watakuja kufanya kitu kibaya kwa maslahi ya Taifa.Time tells.