Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

0FDA435A-1E32-4A99-B72B-D2FE66E19659.jpeg

JOBLESS POLENI SANA ZILE ZILIKUA SIASA TU SERIKALI IKUPE KAZI KIRAHISI TU KWANI YA BABA YAKO ? Kazi iendelee
 
Suala la barua inayosambaza kuwa ni ya UVCCM Mbeya ni jambo la kutengenezwa ambalo halina uhalisia. Kimsingi barua ni fake ambayo imelenga kuibua hisia hasi za wananchi bila kujua malengo ya wapinzani wa serikali nini katika jambo ambalo lina maslahi mapana kwa nchi ambayo katika kipindi hiki cha awamu ya sita serikali imejipambanua kwa kuleta faida kwa wananchi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote.

Niwasihi wananchi wenzangu kuacha kuingia kwenye mtego ambao hauna nia njema na nchi yetu kwani Rais Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN ndiye kiongozi Mkuu wa nchi ambaye msimamo wake unajulikana na amejipambanua kwa kutaka kuhakikisha Tanzania inakuwa ya watanzania wote bila kujali tofauti zetu.

Tujitokeze kuhesabiwa tusitolewe kwenye reli na watu wachache wasiolitakia mema taifa letu.
Kawa hesabu familia yako,ccm ni wapumbavu akili zenu na ubongo zimetengana
IMG_20220612_081739.jpeg
 
ungamkono juhudi shauri yako mpaka mjukuu wako atakuja kuongozwa na CCM
Harafu mambo mengine kujitakia tuu kwaani na nyie hamuwezi kumuandikia barua mtendaji kata mkaambatanisha na hayo majina ya makamanda machachari walioomba?
Ukishauri hivyo,nasisi tusiokua na vyama unatuambiaje?
Hii siyo poa,there is a day,ambapo watu watakata tamaa,na wafanye jambo kwa manufaa ya watakaobaki,halafu watu wafurahie badala ya kusikitika.Haina maana ya kuendelea kuwepo,haufaidiki,kodi unalipa,ila keki ya taifa inaliwa na wengine,huku wewe unashuhudia na una akili zako timamu.Inakera.I say once again,there is a day,hata attempt tu,inatosha.
 
Back
Top Bottom