Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

LAANA! LAANA! LAANA! HII NI AIBU NA LAANA KWA TAIFA LETU. Lazima hili likemewe Kwa Nguvu zote na hatutakubali. Haiwezekani watu wachache walitawale Taifa letu Kwa Mabavu. Moyo wangu umeumia sana aisee, tunatengeneza Taifa la hovyo lisilokua na Akili Wala ushindani.
 
Suala la barua inayosambaza kuwa ni ya UVCCM Mbeya ni jambo la kutengenezwa ambalo halina uhalisia. Kimsingi barua ni fake ambayo imelenga kuibua hisia hasi za wananchi bila kujua malengo ya wapinzani wa serikali nini katika jambo ambalo lina maslahi mapana kwa nchi ambayo katika kipindi hiki cha awamu ya sita serikali imejipambanua kwa kuleta faida kwa wananchi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote.

Niwasihi wananchi wenzangu kuacha kuingia kwenye mtego ambao hauna nia njema na nchi yetu kwani Rais Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN ndiye kiongozi Mkuu wa nchi ambaye msimamo wake unajulikana na amejipambanua kwa kutaka kuhakikisha Tanzania inakuwa ya watanzania wote bila kujali tofauti zetu.

Tujitokeze kuhesabiwa tusitolewe kwenye reli na watu wachache wasiolitakia mema taifa letu.
 
Suala la barua inayosambaza kuwa ni ya UVCCM Mbeya ni jambo la kutengenezwa ambalo halina uhalisia. Kimsingi barua ni fake ambayo imelenga kuibua hisia hasi za wananchi bila kujua malengo ya wapinzani wa serikali nini katika jambo ambalo lina maslahi mapana kwa nchi ambayo katika kipindi hiki cha awamu ya sita serikali imejipambanua kwa kuleta faida kwa wananchi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote.

Niwasihi wananchi wenzangu kuacha kuingia kwenye mtego ambao hauna nia njema na nchi yetu kwani Rais Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN ndiye kiongozi Mkuu wa nchi ambaye msimamo wake unajulikana na amejipambanua kwa kutaka kuhakikisha Tanzania inakuwa ya watanzania wote bila kujali tofauti zetu.

Tujitokeze kuhesabiwa tusitolewe kwenye reli na watu wachache wasiolitakia mema taifa letu.
Kimeandikwa nini?Kieleze au weka hiyo barua niisome.Hata hivyo,UVCCM hamuaminiki katika zama hizi.
 
FB_IMG_1658527106455.jpg
Huu ni UPUMBAVU na haupaswi kukaliwa kimya na mtu yeyote mwenye akili timamu. Sensa ni zoezi linalowahusu watanzania wote si wana CCM peke yao. Sensa ni kwa maendeleo ya taifa na sio maendeleo ya CCM. Wote tutahesabiwa. Na fursa za ajira zinapaswa zitolewe kwa USAWA kwa watanzania wenye sifa na uwezo, bila kuwabagua kwa jinsia zao, dini zao, makabila yao au vyama vyao vya siasa.

Ni aibu huko Mbeya nafasi za kazi za sensa zinatolewa kwa misingi ya kisiasa. Yani kama wewe sio mwanaCCM hupati. Eti Katibu wa UVCCM anamtumia WEO majina ya wanaCCM walioomba nafasi za kazi ya sensa. Ujinga gani huu? Kwahiyo wasio wanaCCM wakiomba wanajisumbua sio?

Kila siku mnatusisitiza tukubali kuhesabiwa, halafu leo mnapeana nafasi kwa ubaguzi wa kisiasa? Mnataka tususie sensa? Tuwaachie hiyo sensa wanaCCM mjihesabu wenyewe? Mazwazwa kabisa.

Kwani mtu akiomba nafasi bila kupewa endorsement na chama chake cha siasa kuna shida gani? Kama ana sifa si atapata tu. Kitendo cha kupigiwa debe na chama cha siasa ni kielelezo kuwa watu hao wamepungukiwa sifa. Wangekua na sifa za kutosha wasingehaha kuomba endorsement ya chama chakavu cha CCM.

Awamu ya tano ilijaa ubaguzi. Watu walibaguliwa kwa vyama vyao vya siasa, wengine wakabaguliwa hadi kwa makabila yao. Bahati nzuri Mungu akaingilia kati na kuamua ugomvi (kwa sauti ya Nape).

Awamu ya sita angalau vitendo vya KIBAGUZI vikapungua sana. Watu wakaanza kuishi kwa amani na kuifurahia nchi yao. Sasa mmeanza tena kutuletea ubaguzi wenu wa kiwaki? Endeleeni, matokeo mtayaona.!

Cc. Malisa GJ
 
Bila ya kuondoa hayo majizi yanayoitwa CCM umaskini na njaa ni milele kwa watanzania, yametuongezea mzigo wa kodi kwenye transactions zetu, mporipori Mwigulu kichwani hamna kitu kajaa ushamba mtupu mpaka aibu...he must go!!!
 
Suala la barua inayosambaza kuwa ni ya UVCCM Mbeya ni jambo la kutengenezwa ambalo halina uhalisia. Kimsingi barua ni fake ambayo imelenga kuibua hisia hasi za wananchi bila kujua malengo ya wapinzani wa serikali nini katika jambo ambalo lina maslahi mapana kwa nchi ambayo katika kipindi hiki cha awamu ya sita serikali imejipambanua kwa kuleta faida kwa wananchi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote.

Niwasihi wananchi wenzangu kuacha kuingia kwenye mtego ambao hauna nia njema na nchi yetu kwani Rais Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN ndiye kiongozi Mkuu wa nchi ambaye msimamo wake unajulikana na amejipambanua kwa kutaka kuhakikisha Tanzania inakuwa ya watanzania wote bila kujali tofauti zetu.

Tujitokeze kuhesabiwa tusitolewe kwenye reli na watu wachache wasiolitakia mema taifa letu.
Wewe ni kiongozi wa UVCCM Mbeya ?
 
Suala la barua inayosambaza kuwa ni ya UVCCM Mbeya ni jambo la kutengenezwa ambalo halina uhalisia. Kimsingi barua ni fake ambayo imelenga kuibua hisia hasi za wananchi bila kujua malengo ya wapinzani wa serikali nini katika jambo ambalo lina maslahi mapana kwa nchi ambayo katika kipindi hiki cha awamu ya sita serikali imejipambanua kwa kuleta faida kwa wananchi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote.

Niwasihi wananchi wenzangu kuacha kuingia kwenye mtego ambao hauna nia njema na nchi yetu kwani Rais Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN ndiye kiongozi Mkuu wa nchi ambaye msimamo wake unajulikana na amejipambanua kwa kutaka kuhakikisha Tanzania inakuwa ya watanzania wote bila kujali tofauti zetu.

Tujitokeze kuhesabiwa tusitolewe kwenye reli na watu wachache wasiolitakia mema taifa letu.

Barua ni ya kweli, ila hamkutegemea kuwa itavuja. Hii tabia ya kutoa kazi kwa upendeleo kwa wanaccm ipo kila mahali na wala sio siri. Baada ya kuingiza tabia hiyo kwenye chaguzi zetu na mmeona mmefanikiwa, kwa sasa hiyo imekuwa tabia yenu rasmi kwenye kila jambo.

Ni hivi kahesabianeni wanaccm wenyewe. Huyo mama sio kwamba ni mwema, bali anahadaa wapinzani kadhaa kuwa ana nia njema ili atawale bila bugudha. Kwani maendeleo mmeshindwa kuleta kwakuwa hamjui idadi ya watu?
 
View attachment 2300525Huu ni UPUMBAVU na haupaswi kukaliwa kimya na mtu yeyote mwenye akili timamu. Sensa ni zoezi linalowahusu watanzania wote si wana CCM peke yao. Sensa ni kwa maendeleo ya taifa na sio maendeleo ya CCM. Wote tutahesabiwa. Na fursa za ajira zinapaswa zitolewe kwa USAWA kwa watanzania wenye sifa na uwezo, bila kuwabagua kwa jinsia zao, dini zao, makabila yao au vyama vyao vya siasa.

Ni aibu huko Mbeya nafasi za kazi za sensa zinatolewa kwa misingi ya kisiasa. Yani kama wewe sio mwanaCCM hupati. Eti Katibu wa UVCCM anamtumia WEO majina ya wanaCCM walioomba nafasi za kazi ya sensa. Ujinga gani huu? Kwahiyo wasio wanaCCM wakiomba wanajisumbua sio?

Kila siku mnatusisitiza tukubali kuhesabiwa, halafu leo mnapeana nafasi kwa ubaguzi wa kisiasa? Mnataka tususie sensa? Tuwaachie hiyo sensa wanaCCM mjihesabu wenyewe? Mazwazwa kabisa.

Kwani mtu akiomba nafasi bila kupewa endorsement na chama chake cha siasa kuna shida gani? Kama ana sifa si atapata tu. Kitendo cha kupigiwa debe na chama cha siasa ni kielelezo kuwa watu hao wamepungukiwa sifa. Wangekua na sifa za kutosha wasingehaha kuomba endorsement ya chama chakavu cha CCM.

Awamu ya tano ilijaa ubaguzi. Watu walibaguliwa kwa vyama vyao vya siasa, wengine wakabaguliwa hadi kwa makabila yao. Bahati nzuri Mungu akaingilia kati na kuamua ugomvi (kwa sauti ya Nape).

Awamu ya sita angalau vitendo vya KIBAGUZI vikapungua sana. Watu wakaanza kuishi kwa amani na kuifurahia nchi yao. Sasa mmeanza tena kutuletea ubaguzi wenu wa kiwaki? Endeleeni, matokeo mtayaona.!

Cc. Malisa GJ
Huenda ni maagizo toka juu, mbona wahusika hawakemei.
 
Suala la barua inayosambaza kuwa ni ya UVCCM Mbeya ni jambo la kutengenezwa ambalo halina uhalisia. Kimsingi barua ni fake ambayo imelenga kuibua hisia hasi za wananchi bila kujua malengo ya wapinzani wa serikali nini katika jambo ambalo lina maslahi mapana kwa nchi ambayo katika kipindi hiki cha awamu ya sita serikali imejipambanua kwa kuleta faida kwa wananchi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote.

Niwasihi wananchi wenzangu kuacha kuingia kwenye mtego ambao hauna nia njema na nchi yetu kwani Rais Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN ndiye kiongozi Mkuu wa nchi ambaye msimamo wake unajulikana na amejipambanua kwa kutaka kuhakikisha Tanzania inakuwa ya watanzania wote bila kujali tofauti zetu.

Tujitokeze kuhesabiwa tusitolewe kwenye reli na watu wachache wasiolitakia mema taifa letu.
Monica, Samia ameingiaje kwenye barua hiyo? Pia Monica hauko Mbeya, sasa unayajuaje ya Mbeya? Waachie wahusika wa Mbeya wakanushe.
 
Back
Top Bottom