Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Majina hayaonekani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina hayaonekani mkuu
Siri ya serikali iko wapi hapo, acha uchawaNi kosa kusambaza nyaraka za serikali bila idhini ikiwemo Siri
Mbona ni kawaida sana ! hawa hata viongozi wao wa kata hawawezi kutumia hizo E mail wala internet ,hiki chama huko chini viongozi wake ni duni sanaDuuh , hii hatar....Inawezekanaje taarifa ya namna hyo ikafikishwa Kwa njia ya barua ,
loooooNi kosa kusambaza nyaraka za serikali bila idhini ikiwemo Siri
Huyu hapa akiwa na Mkurugenzi wa zamani wa Tume ya Uchaguzi , Ramadhan KailimaNa ukiona imepelekwa orodha jua hakipo kiambatishi chochote Kwa habar ya Qualifications.
Ni makanjanja matupu, uozo huo na vimemo ndo umesababisha Leo mtu aliyekuwa UVCCM kindakindaki kuwa WAZIRI wa Fedha.
Badilisha hapo"serikali" weka "uvccm"Ni kosa kusambaza nyaraka za serikali bila idhini ikiwemo Siri
[emoji38][emoji38][emoji38] Akikujibu nistueBadilisha hapo"serikali" weka "uvccm"
Unatia aibu kwa faida ya nani ?Ni kosa kusambaza nyaraka za serikali bila idhini ikiwemo Siri
Mkuu 'Erythrocyte', tunaposema kuwa sasa hivi adui mkuu wa nchi yetu Tanzania ni CCM; hatuyasemi haya kwa kujisikia tu kuyasema maneno mazito kama hayo.Hatutaongeza neno ili kuepusha migongano , Jisomee mwenyewe
Majina yenyewe ni haya hapa
View attachment 2300250
Sasa siasa inaanza kutumika vibayaHatutaongeza neno ili kuepusha migongano , Jisomee mwenyewe
Majina yenyewe ni haya hapa
View attachment 2300250
Hiki hakitakuwa "kitu kibaya", kama nimeelewa maana uliyolenga.Watu watachoka, watakuja kufanya kitu kibaya kwa maslahi ya Taifa. Time tells.
HakikaMkuu 'Erythrocyte', tunaposema kuwa sasa hivi adui mkuu wa nchi yetu Tanzania ni CCM; hatuyasemi haya kwa kujisikia tu kuyasema maneno mazito kama hayo.