Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

ungamkono juhudi shauri yako mpaka mjukuu wako atakuja kuongozwa na CCM
Harafu mambo mengine kujitakia tuu kwaani na nyie hamuwezi kumuandikia barua mtendaji kata mkaambatanisha na hayo majina ya makamanda machachari walioomba?
Kazi yetu ni kuanika uozo , Hatuna njaa
 
Ikithibitika hivyo, basi hata taarifa itabidi wakakusanye za wana CCM tu,wao pekee ndo wahesabiwe makundi mengine hayatakuwa na time na zoezi. Kamishina wa sensa mama Anna Makinda angalia zoezi litakubumia.
 
Ikithibitika hivyo, basi hata taarifa itabidi wakakusanye za wana CCM tu,wao pekee ndo wahesabiwe makundi mengine hayatakuwa na time na zoezi. Kamishina wa sensa mama Anna Makinda angalia zoezi litakubumia.
Ngoja tuone
 
Hili zoezi kuna uwezekano kundi kubwa la wananchi kupata hasira na kususia kuhesabiwa maana haki haitendeki kwa usawa.

Yaani kijana wa masikini aliyehangaika kuandaa maombi kwa gharama ambayo hakuimudu akitegemea usawa wa kupata ama kukosa nafasi hii halafu kumbe kuna wajinga wanaendekeza kuchaguana kwa kuzingatia uchama.
 
Huu uzi unachekesha sana mtaani pagumu watu wanalaumu serikali ,kwa hali hii natarajia baada ya mkeka mpya kutakuwa na makubwa zaidi maana watu wamefikia steji ya kutaka KuSirililanka na wengine kususia kuhesabiwa.

Hii inchi ngumu sana haswa usipokuwa na mzinga wa kuramba asali.
 
Inasikitisha sana.
IMG-20220722-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom