Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
ubora wake nini ?Bora hivyo kuliko kufanywa na walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ubora wake nini ?Bora hivyo kuliko kufanywa na walimu
Kazi yetu ni kuanika uozo , Hatuna njaaungamkono juhudi shauri yako mpaka mjukuu wako atakuja kuongozwa na CCM
Harafu mambo mengine kujitakia tuu kwaani na nyie hamuwezi kumuandikia barua mtendaji kata mkaambatanisha na hayo majina ya makamanda machachari walioomba?
kama hamnanjaa Acha wenye njaa wapambaneKazi yetu ni kuanika uozo , Hatuna njaa
...Ya Sri Lanka yatahamia huku....!Watu watachoka, watakuja kufanya kitu kibaya kwa maslahi ya Taifa. Time tells.
Ngoja tuoneIkithibitika hivyo, basi hata taarifa itabidi wakakusanye za wana CCM tu,wao pekee ndo wahesabiwe makundi mengine hayatakuwa na time na zoezi. Kamishina wa sensa mama Anna Makinda angalia zoezi litakubumia.
Hiki chama kwa kweli ni laana kwa nchi.
Wewe sio kijana wao?Dah yaani napatwa adi hasira na nipo mbeya apa apa.
Wamekulea miaka mingapi, sasa unaona hawafai?Bora hivyo kuliko kufanywa na walimu
Hiki chama kwa kweli ni laana kwa nchi.
Tuwekee na majina yenyewe tuyajue mkuu