Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele

Duuh , hii hatar....Inawezekanaje taarifa ya namna hyo ikafikishwa Kwa njia ya barua ,
 
Haya mambo hata sio siri tena, ni michezo yao huko CCM kila wakati, kuwapa watu wao nafasi za upendeleo kwa madai hao ndio hukipigania chama chao.
 
Barua hii inawataka wasimamizi wa zoezi la sensa kuwapa vipaumbele vijana wa UVCCM
Je, Vijana wa vyama vingine si watanzania?View attachment 2300210
Na ukiona imepelekwa orodha jua hakipo kiambatishi chochote Kwa habar ya Qualifications.

Ni makanjanja matupu, uozo huo na vimemo ndo umesababisha Leo mtu aliyekuwa UVCCM kindakindaki kuwa WAZIRI wa Fedha.
 
Nimeangalia neno "SIRI" nikakumbuka document za Dr Slaa enzi zile, palichangamka sana.
Nadhani

Majesuit walikuwa wanampenyezea documents Ili kumpa kash kash Bt enzi ZILE!!!

"Mfumuko juu wa Bei Halafu ongezeko zero Hiyo mikopo wanagawana peke yao!!?

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!!
 
......end of the day tunasahau haya na hakuna tunachoweza to push back na ccm wanaendelea na kujiona nchi hii wamerithishwa wao.
 
It can't be..... It must be fake !
IMG_20220722_170907.jpg

IMG_20220722_191828.jpg
 
Back
Top Bottom