Fojaringi=kanjanja.Hiyo barua ni fojaringi tu ya uchonganishi hata hivyo ukiandika haisaidii kwani huwezi walazimisha wasaili kumpendekeza wanaomtaka kichama huu ni uhuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fojaringi=kanjanja.Hiyo barua ni fojaringi tu ya uchonganishi hata hivyo ukiandika haisaidii kwani huwezi walazimisha wasaili kumpendekeza wanaomtaka kichama huu ni uhuni
....Kwa Ujinga huu, CCM watahesabiwa wenyewe!!!.....Ikithibitika hivyo, basi hata taarifa itabidi wakakusanye za wana CCM tu,wao pekee ndo wahesabiwe makundi mengine hayatakuwa na time na zoezi. Kamishina wa sensa mama Anna Makinda angalia zoezi litakubumia.
Ohoooo !!!....Kwa Ujinga huu, CCM watahesabiwa wenyewe!!!.....
Mkuu huyu mwingine ni Madelu Nchemba?Huyu hapa akiwa na Mkurugenzi wa zamani wa Tume ya Uchaguzi , Ramadhan Kailima
View attachment 2300323
Ni kosa wewe jua hiloUnatia aibu kwa faida ya nani ?
Pengine chadema mmefoji taarifa barua hi ili kutengeneza chukiHatutaongeza neno ili kuepusha migongano , Jisomee mwenyewe
Majina yenyewe ni haya hapa
View attachment 2300250
Thubutuungamkono juhudi shauri yako mpaka mjukuu wako atakuja kuongozwa na CCM
Harafu mambo mengine kujitakia tuu kwaani na nyie hamuwezi kumuandikia barua mtendaji kata mkaambatanisha na hayo majina ya makamanda machachari walioomba?
bila kusahau chadema na wawengine n kulamba tuu asaliccm ni janga la taifa
Umesikia wakikanusha ?Pengine chadema mmefoji taarifa barua hi ili kutengeneza chuki
[emoji38][emoji38][emoji38]Sasa hapo wamegonga muhuri kwamba ni ‘SIRI’, wewe umeiletaje huku tena?