Ajira za Maofisa wa Sensa ni kwa Koneksheni. UVCCM kupewa kipaumbele


JOBLESS POLENI SANA ZILE ZILIKUA SIASA TU SERIKALI IKUPE KAZI KIRAHISI TU KWANI YA BABA YAKO ? Kazi iendelee
 
Kawa hesabu familia yako,ccm ni wapumbavu akili zenu na ubongo zimetengana
 
ungamkono juhudi shauri yako mpaka mjukuu wako atakuja kuongozwa na CCM
Harafu mambo mengine kujitakia tuu kwaani na nyie hamuwezi kumuandikia barua mtendaji kata mkaambatanisha na hayo majina ya makamanda machachari walioomba?
Ukishauri hivyo,nasisi tusiokua na vyama unatuambiaje?
Hii siyo poa,there is a day,ambapo watu watakata tamaa,na wafanye jambo kwa manufaa ya watakaobaki,halafu watu wafurahie badala ya kusikitika.Haina maana ya kuendelea kuwepo,haufaidiki,kodi unalipa,ila keki ya taifa inaliwa na wengine,huku wewe unashuhudia na una akili zako timamu.Inakera.I say once again,there is a day,hata attempt tu,inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…