Ajira za Uhasibu (Accountant), Store Keeper na Personal Assistant

Tapeli
 
Ulitapeliwa nini?

Hapo sasa.
Siku hizi wanafanya hivyo, muulize Kalemani wamempiga sana baada ya kufukuzwa uwaziri, pamoja na ukuda wake ila matapeli wamemliza na ajira fake. Huyu mdau ndiyo hao hao.
 
Siku hizi wanafanya hivyo, muulize Kalemani wamempiga sana baada ya kufukuzwa uwaziri, pamoja na ukuda wake ila matapeli wamemliza na ajira fake. Huyu mdau ndiyo hao hao.
Umeusoma uzi au umekurupuka? Kuna ajira feki Madrassa?
 
Waache tu, hawana cha kukosoa inabidi wajaribu kuni attack mimi binafsi kwa kuni provoke. kwa kuwa hawaelewi wafanye nini zaidi, hawaa hoja, ni wakukubaliwa tu kila walisemalo. Waache wajifurahishe nafsi zao.
 
Waache tu, hawana cha kukosoa inabidi wajaribu kuni attack mimi binafsi kwa kuni provoke. kwa kuwa hawaelewi wafanye nini zaidi, hawaa hoja, ni wakukubaliwa tu kila walisemalo. Waache wajifurahishe nafsi zao.
Nimekuelewa sana tena sana.

Naomba ruksa iwatupie picha za unayoyafanya. Maana kama wakisoma hawaelewi basi hata picha hawatazielewa?
 
Umeandika kwa kirefu lkn upupu mtupu... Huelew ata unacho ongea
 
Umeandika kwa kirefu lkn upupu mtupu... Huelew ata unacho ongea
Ndio lengo hilo, ukileta ujuba nakumwagia upupu. Ni vyema umelielewa hilo.

Wewe hata kuandika hujui halafu unataka kushindana na wazee wa Madrassa!

Unanchekesha.
 
Ndio lengo hilo, ukileta ujuba nakumwagia upupu. Ni vyema umelielewa hilo.

Unanchekesha.
Hiyo ofc yenu haina hadhi kuweka bango kutafuta watu eti tena wenye expeirence tafuten house girl muwape hizo kazi
Mnatutangazia ili tujue nayie mna ofc kumbe mavi matupu
 
Eti kazi za uhasibu hiv ww msomal koko unajua uhasibu wewe hizo operation zako hapo hata duka la Mangi linakuzid unataka uajir mhasibu....
Au ilimradi ututishe nawe umo si umpe huyo faizer akushikie hiyo hela[emoji3][emoji3]
 
Hiyo ofc yenu haina hadhi kuweka bango kutafuta watu eti tena wenye expeirence tafuten house girl muwape hizo kazi
Mnatutangazia ili tujue nayie mna ofc kumbe mavi matupu
Kuna watu kule wametoka Europe itakua kinyangarakata kama wewe usieelewa hata kuandika.

Wewe nilikwambia hapo juu, hata u house boy wa Abdul huuwezi. Upo zero kabisa.
 
Wewe ni kipoyoyo kimoja kinachong'ang'ania kuusukuma mbuyu na kuishia kutingisha makalio tu. Huku jasho linakutoka unajidanya kuwa mbuyu umesogea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu kule wametoka Europe itakua kinyangarakata kama wewe usieelewa hata kuandika.

Wewe nilikwambia hapo juu, hata u house boy wa Abdul huuwezi. Upo zero kabisa.
Mm kwel nilishafika apo kutokana na matangazo ya msomali apa nikajua bas ni ofcs kumbe ushuzi mtupu hv kwel na elimu yangu nikae na msomali uchwara apo si bora niende kwenye Duka la mangi atleast lina formalities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…