Ajira za Walimu wapya ngoma droo hakuna cha UDSM wala SEKOMU

Status
Not open for further replies.
hehehahahah lugha ya malkia si mchezo,
wengine wanajua kuongea tu ila ukiwaambia waandike wanachokiongea ndio utashangaa.

Huyo jamaa Darius anajifanya mjanja sana kumbe zero brain
Mda mrefu namuona anaandika shudu hapa watu wanamchekea..

Mkuu siku hizi hata wakata majani wa ng'ombe wapo hapa JF so muwatambue kwa michango yao.
 
Last edited by a moderator:

Porojo nyingi hujaweka point of correction....

Nani kakwambia mi mwalimu?

Inakuuma nini post za walimu?

Nani kakutuma usome course ambayo unajua kabisa kwa ufukara wa kwenu hutatoka?

Ukitaka usiishi kwa maumivu ikatae chuki kwa nguvu zote...

Teh teh teh utasaga lami mwaka huu mpaka ushike adabu..
 
Bora kuajiri mwanafunzi wa ilboru form6 kuliko kuajiri mwalimu kutoka SEKOMU,TEKU,EKENFORD,
 
Nikiwa TEKU au UDSM kuna tofauti ya mshahara?

BTW Mimi sio mwalimu nakushangaa unaejifanya mjuaji wakati hujui kitu..

Watoto wa maskini mliolimbukia maisha ndivyo mlivyo porojo nyiingi kichwani zero minded...

Poor you!!!

Tofauti utakuja kuiona mkienda kufanya interview shule za private
 
Aisee kama nyinyi ndo walimu mnaoenda kufuta ujinga mashuleni basi watoto wameumia.
 
Huyo jamaa Darius anajifanya mjanja sana kumbe zero brain
Mda mrefu namuona anaandika shudu hapa watu wanamchekea..

Mkuu siku hizi hata wakata majani wa ng'ombe wapo hapa JF so muwatambue kwa michango yao.

wewe chizi kweli una lolote mkata majani baba yako.....!

by the way kale chaki hata kama unaikatakaa fani yako
 
Last edited by a moderator:
Kuna tofauti kati ya mada na mada......

Hii sio mada ni mada....

You are too low!!!!



hope umeelewaaaaaa....!
kaza ubongo hatukulazimishi

Ur deep in shallow ....!
 

soon ......!
 
Tofauti utakuja kuiona mkienda kufanya interview shule za private

Njoo foreign affairs idara ya Asia utanipata usifikiri kila mtu fukara kama wewe unaesoma kitu usichokuwa na uwezo nacho..

Katu sidharau walimu coz wenye level ya degree nalingana nao mshahara kazi kwenu wenye njaa na masikini mnaolia wivu kuona wenzenu wanaingia kwenye ajira..

Siku zote mtu mwenye uwezo hana muda wa kubishania vitu visivyo na msingi wala tija isipokuwa mafukara kama nyie mnaobwaka hovyo wakati wenzenu wenye degree za OUT za kununua tu mbali ya kusoma ndio wabunge..mawaziri...wakurugenzi na hata hapa wamejaa kibao wengine kwenye balozi huko nje we mtoto wa fukara na UDSM yako utaishia kulima njugu kwenu liwale..
Poor you!!!
 
hope umeelewaaaaaa....!
kaza ubongo hatukulazimishi

Ur deep in shallow ....!

Bado mtoto sana kuelewa nini maana ya maisha then kwa Mara ya kwanza umeanza kutumia internet na kuijua DSM baada ya kufika chuo..
Poor you!!!
 
Bado mtoto sana kuelewa nini maana ya maisha then kwa Mara ya kwanza umeanza kutumia internet na kuijua DSM baada ya kufika chuo..
Poor you!!!

labda wewe ndo mgeni mjini hapa.....!

nimezaliwa wilaya ya ilala hospital .......

primary nimesoma wilaya ya ilala

o- level wilaya ya ilala

a-level ndo nikaenda nje ya dsm - ndanda boys (mtwara)

chuo- back DSM

Utanitisha nini wewe uliyekuja mjini unakaa kwa shemeji ....,Dada yako akiachikaa utaolewa mjini hapa.

over
 

Hahahah muongeze tena huyo darius
 
Wewe sidhani hata darasa la 7 umefika? ndio maana umeajiriwa kama mfagiaji hapo wizarani
 


Utashindanishaje waliofeli? wote mliosoma ualimu mliharibu form six, sasa ukienda UDSM, Teofilo kisanji au Sekomu sijui basi hakuna tofauti yoyote. wote gonjwa moja
Nendeni mkasisitize wanafunzi wasome wakati nyie mlinye.a kambi form six.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…