Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 14,516 Reaction score 50,658 Aug 11, 2024 #61 Mi mi said: Una matatizo yoyote na Magufuli ? Magufuli alikukosea nini kikubwa haswa ? Click to expand... Alikua na vyeti feki
Mi mi said: Una matatizo yoyote na Magufuli ? Magufuli alikukosea nini kikubwa haswa ? Click to expand... Alikua na vyeti feki
Tindo JF-Expert Member Joined Sep 28, 2011 Posts 63,730 Reaction score 111,542 Aug 11, 2024 #62 deblabant said: Seriksli imemwaga ajira kila pahala na kila sector. Huku sector binfsi sasa usiseme. Click to expand... Mkuu umeamka na pombe kichwani nini?
deblabant said: Seriksli imemwaga ajira kila pahala na kila sector. Huku sector binfsi sasa usiseme. Click to expand... Mkuu umeamka na pombe kichwani nini?
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 25,225 Reaction score 25,488 Aug 11, 2024 #63 Yoda said: sasa wewe ni bodaboda au unatembeza bidhaa au umepanga bidhaa barabarani ukiumwa unaweza kupata mtu wa kukushikia biashara yako au wateja wanaweza kuvumilia hadi urudi?? Click to expand... Kule juu ni kama tumezungumza lugha moja lakini hapa, nimegundua huna taarifa za kutosha kwenye tasnia hii haya ya umachinga. Asubuhi njema.
Yoda said: sasa wewe ni bodaboda au unatembeza bidhaa au umepanga bidhaa barabarani ukiumwa unaweza kupata mtu wa kukushikia biashara yako au wateja wanaweza kuvumilia hadi urudi?? Click to expand... Kule juu ni kama tumezungumza lugha moja lakini hapa, nimegundua huna taarifa za kutosha kwenye tasnia hii haya ya umachinga. Asubuhi njema.