Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

Unataka kusema Viongozi wanashindwa kuwatafufia watu Ajira sababu ya watanzania hawajui English?

Ukichoandika Kina mtazamo tofauti kwa Kila msomaji
Huu ndo ukweli watz hawawezi chochote labda Burundi ,Congo n.k.
 
Nimeumia sana, sasa bahati mbaya apatikanae mtu mwenye akili...utashi....na udhubutu wa kutenda tofaut akawekwa katika Wizara zetu, ni week moja tu katenguliwa.

Wazri kwa sasa kwenyr nfas yako Unatakiwa uwe kama haupo, au kuwa busy na kuanzisha program za baba sijasema mama.
 
Ubunifu unaishia kwenye kumsifia maza, baada ya hapo utatenguliwa haraka sn.
 

Your browser is not able to display this video.



Wakenya wakifurafia kutafutiaa Kazi waziri akiwaaga Airport vijana aliowatafutia Kazi kwenda Nje ya Nchi


 
Nimelia zaidi
 
Mkienda majuu mtashindwa kazi jifunzeni kizungu kwanza

Unachozungumza sio kweli na ni kweli baadhi ya sehemu.. English inayohitajija ni Basic maana utajifunza wachina wengi wafilipino mexico wengi huku ulaya, au USA Wengi wao English hawajui sanaa ila wanajifunza .. tusiweke mambo kuwa magumu Kila kitu kinafundishika nilitamani sana watanzania wasambae duniani kutafuta fursa na sio kweli kwamba watanzania hawajui kiingereza cha kufanya kazi
 
Nyie mnajifananisha na wachina ambao wamewazidi akili na uchumi

Nyie jifananisheni na Burundi , Kenya n
N.k nchi za dunia ya 03
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…