Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.
Inanikumbusha story ya mchunga kondoo na chui. Soon arobain yake itafika
 
Hahahaha. Tutakoma na huyu mange mwaka huu.
 
watu walivyo na hasira watamfollow kwa hasira zote.hizo mil 2 zitajitriple

Alikuwa na followers milion karibia mbili,ni pigo sana kwake,tulimpenda ila Iphone 8 imempenda zaidi.Wale wa hide my name mjiandae.Astagallafullah.[/QUOTE
 


Kwa hiyo?
 
Binafsi Mange simpendi kwa kuwa anatukana Viongozi hovyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…