Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hao viumbe wanavyopenda pesa!Sipigwi hela hapo?
[emoji23][emoji23]wifi hii ya wireless inayokamata internet au
Winga hii boksi ya valentine inafunguliwa mda gn ππnsije nkaharibu mamboππππ
Kabla ya kupakwa majivu πππWinga hii boksi ya valentine inafunguliwa mda gn ππnsije nkaharibu mambo
Majivu siendi kupakwa bn maji hamna taogea nnKabla ya kupakwa majivu πππ
Haya pita naye sasa Mi AmourπMkuu Wifi hajambo?
Sure. Halafu hiyo ni ishara manzi ana UPWIRUHaina haja ya kumaliza maneno Mkuu, omba appointment tu mengine utajiongeza kwenye huo mtoko
Ndo ivo shemπMmnh
πππNyuzi za hv muwe mnaandika mapema sasa!
Mtaa naokaa tuna siku kadhaa maji hamna Jana jioni ikabidi nikatafute hata ya chumvi ili nisurvive, mda narudi na ndoo zangu mbili nkakutana na wadada wakaniuliza mbona unachota maji usiku wifi hayupo?
HahahahahaSisi hua tunasema tu "jamaa anafaidi.."
Unasubiria usikie "jamaa gani..?" π
Hahahahaha..km wamezaliwa nazo vileHao viumbe wanavyopenda pesa!
Aisee[emoji1]Basi msalimie
Acha uzoba bhana πMkuu unajibuje hapo nipe materio
Ubahili wako utabakia kuwaita mashemejiHao viumbe wanavyopenda pesa!
Network ilirudi nipo ndani....plus hii thread aisee itoshe kusema mm ni jeuri nyuma ya keyboardπππ
Mkuu umenichekesha sana.
Kumbe huna mbwinu za kibaharia!
Rusha ndoano this Valentine hutojutia maishani.Network ilirudi nipo ndani....plus hii thread aisee itoshe kusema mm ni jeuri nyuma ya keyboard
Mm valentine kwangu Sio mbaya sana mida mida nazama Shekilango na picha ya delivery note yanguRusha ndoano this Valentine hutojutia maishani.
Hakuna raha kama binti akikuelewa
Poa mkuuMm valentine kwangu Sio mbaya sana mida mida nazama Shekilango na picha ya delivery note yangu
Happy Valentine's Day, Mi AmorHaya pita naye sasa Mi Amourπ
Thanks MI AMOUR much love πΉβ€οΈπHappy Valentine's Day, Mi Amor