Duh!...Dem ndo mmejuana juana siku moja mbili tatu hivi. Hujaweka clear intention yako kwake ila mkikutana au mkipigiana simu mnaongea mnafurahi.
Hata kama mmejuana muda mrefu. Ila hamjuani kiundani hasa katika eneo la mahusiano. Ni workmate wako pengine, ila recently mmekuwa na ukaribu sana na utani utani wa hapa na pale.
Ikatokea siku katika mazungumzo yenu yakutaniana taniana mliyoyaibua juzijuzi, mwishoni akikuaga akakwambia 'Msalimie wifi', bro, wala hata usijihangaishe kuwaza anamaanisha nini. Ameshakuelewa huyo. Anakutengenezea njia upite nae.
Hayo maneno hayatumiki kwa kila mrembo wengine ukosema hivo anakutoa kwenye reli wengine ndo unampa cha kuwaza usikuHahahahaha...hivi na sisi tukisemaga msalimie shemeji...huwa tuna maanisha hv hv ? au
Mkuu watu bado tupo Kwenye maombolezo ya Kifo cha Mpendwa wetu Hayati Edward Lowasa,sasa unaletaje mada hizi?.Dem ndo mmejuana juana siku moja mbili tatu hivi. Hujaweka clear intention yako kwake ila mkikutana au mkipigiana simu mnaongea mnafurahi.
Hata kama mmejuana muda mrefu. Ila hamjuani kiundani hasa katika eneo la mahusiano. Ni workmate wako pengine, ila recently mmekuwa na ukaribu sana na utani utani wa hapa na pale.
Ikatokea siku katika mazungumzo yenu yakutaniana taniana mliyoyaibua juzijuzi, mwishoni akikuaga akakwambia 'Msalimie wifi', bro, wala hata usijihangaishe kuwaza anamaanisha nini. Ameshakuelewa huyo. Anakutengenezea njia upite nae.
Huyu mwanamke atakuwa mtundu sanaMkuu Wifi hajambo?
Unaanz hapahapMkuu Wifi hajambo?
Et ni kwel mkuuMmnh
Mkuu unajibuje hapo nipe materio
Daah umeach la mental hiloNyuzi za hv muwe mnaandika mapema sasa!
Mtaa naokaa tuna siku kadhaa maji hamna Jana jioni ikabidi nikatafute hata ya chumvi ili nisurvive, mda narudi na ndoo zangu mbili nkakutana na wadada wakaniuliza mbona unachota maji usiku wifi hayupo?
Nmependa sloganNyuzi ninazopenda kuziona.
PambanaZaidi/CottonandMore
Huenda ni kweli japo sina uhakikaEt ni kwel mkuu
Nmependa sloganNyuzi ninazopenda kuziona.
PambanaZaidi/CottonandMore
Mkuu haya mambo saa yanatokea unafkir hata akili itawaza huko?Daah umeach la mental hilo
Hizi nyuz alikuwa anazileta kichwa kichafu [emoji23]