Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #21
Unarahisisha tu mambo sioUngetoa ushauri akiwa 100m afanye nini ....toa options watakushukuru.....costa kawaida ni 60m inarudi miaka 2.5....gari inakaa miaka 5 ....una change engine ....rekebisha bodi inapiga tena miaka 5....ni mzunguko tu....TaTa 120m ....inaleta 200k....Yutong 250m ....inaleta less 2mil likijaa ni suala mzunguko tuuu
Biashara kichaa hiyoUkiona hela yako tamu sana,iweke mezani upige nayo selfie/ekotite kila siku uone kama itaongezeka.Rahisi tu.
Ndio iko hvy....tuko kwenye game tunajua tunachosema.....Unarahisisha tu mambo sio
Zichukue ukanywee bia au kaziweke benki wajanja waende wakakope wafanye yao.Biashara kichaa hiyo
Utajirike Kwa kuletewa laki 1 Kwa siku na hapo hapo gari ikipiga mzinga unaambulia skrepa huko ni kutajirika au kufirisikawatu wanapiga pesa wanatajirika inategemea na approach zako ulizoingia nazo.
1. gari gani
2. route gani
3. dereva gani
4. fundi
SawaZichukue ukanywee bia au kaziweke benki wajanja waende wakakope wafanye yao.
Biashara kichaa hiyoHujuii lolote Ila wewe ni mropokaji
Wengine wakiona hawana kazi wananzisha uzi wa kipuuzi tu ila apate Antentionfatilia vizuri hii biashara mkuu, usije na hesabu za juu juu.
wengi wanaofanya daladala ya kuingiza 100k kwa siku hawanunui hiyo bei. wengi wanakimbilia nissan civilian 55M hadi 60M. aliyejiongeza atatoa 70M apate ile old na hesabu kwa gari mpya 130 hadi 150k inategemea na route.
wanaonunua hizo za M100 wanafanya special hire ama tlb ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hesabu zake zinavuka 200k kutegemea na route.
ukija njoo na unachokifaham usije na maneno ya kuambiwa utakatisha watu tamaa wanaotaka kuwekeza kwenye hii biashara.
Tuambie wewe umewekeza kwenye biashara Gani ambayo Sio kichaaaaBiashara kichaa hiyo
Coaster milion 100? Kuwa seriousHii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
sure 100%Wengine wakiona hawana kazi wananzisha uzi wa kipuuzi tu ila apate Antention
Biashara kichaa,kuna jamaa alinunua eacher milion themanini mwaka 2016,anajuta hadi leoHii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani
Hana akili. Huyo ngoja siku hizo flati ziungue zote 3 ndio akili itamkaa sawa Kuna mwenzake huku zimeuungua zote 2 nch 75 Kila moja Kawa kama kadataUkichunguza sana biashara,huwez fanya biashara
Huku kwetu kuna watu wanafanya biashara ya vibanda umiza mpaka unaweza ukashangaa
aNanunua flat tv 3 za inch 55 mpaka 60
Anachonga bechi za mbao au chuma ukumbi mzima
Anajenga jengo
Genereta la laki 5
Bei ya kiingilio 500 kwa wiki anaingiza 60,000 kwa mwezi 240,000
Ukipiga hesabu pesa iliyotumika hapo ni kama 10mil
Biashara nyingi hufanywa vema na watu wasiopigapiga mahesabu na kujidai wana shule vichwani mwao.Biashara haitaki cos,tan wala f(x).Ukichunguza sana biashara,huwez fanya biashara
Huku kwetu kuna watu wanafanya biashara ya vibanda umiza mpaka unaweza ukashangaa
aNanunua flat tv 3 za inch 55 mpaka 60
Anachonga bechi za mbao au chuma ukumbi mzima
Anajenga jengo
Genereta la laki 5
Bei ya kiingilio 500 kwa wiki anaingiza 60,000 kwa mwezi 240,000
Ukipiga hesabu pesa iliyotumika hapo ni kama 10mil
Coaster ya umeme,inasimama mil.80Costa gani million 100?
2 au moja
Watu wanachukulia kirahisirahisi tu huo mzikiBiashara kichaa,kuna jamaa alinunua eacher milion themanini mwaka 2016,anajuta hadi leo