Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda yale ma-DCM
Ebu ngoja kwanza ujenge nyumba Ya 300M alafu upangishe laki 5 kwa mwezi it doesnt make sense!Huyu ana tofauti gani na mtu anayejenga nyumba ya sh.mil.300,halafu anapangisha kodi laki 5 kwa mwezi,kwa mwaka mil.6 na mpk hela irudi itachuka miaka 50,then aanze kutengeneza faida...?
Ebu ngoja kwanza ujenge nyumba Ya 300M alafu upangishe laki 5 kwa mwezi it doesnt make sense!Huyu ana tofauti gani na mtu anayejenga nyumba ya sh.mil.300,halafu anapangisha kodi laki 5 kwa mwezi,kwa mwaka mil.6 na mpk hela irudi itachuka miaka 50,then aanze kutengeneza faida...?
Nini kilimpata hadi ajute?Biashara kichaa,kuna jamaa alinunua eacher milion themanini mwaka 2016,anajuta hadi leo
Wewe ndio unajua biashara/uwekezaji.Naona watu bado wanahitaji Sana Financial and investment education,
Shida Sio unaingiza kiasi Gani cha pesa per day, shida Sio unawekeza kiasi Gani kama capital.
Kwanza tunaangalia risk ya kupoteza origin capital.
Ukichukua 100m unainvest kwenye duka ni rahisi Sana kupoteza mtaji wote kwasababu costumers ndio wanadetermine money flow kwenye biashara yako
Tofauti na biashara ya usafirishaji ambapo money floor inategemea na root zako kila siku.
Kingine watu wanahangaika kutafuta passive income( with little supervision)
Sasa MTU ameinvest 100m let's say kila day anapata 100k hapo ameshatoa gharama zote za uendeshaji wakati huo huo ana comprehensive insurance kuna shida Gani??
Hatuangalii Biashara inatoa shingapi tunaangalia tunabiashara ngapi ambazo zinatoa faida kidogo kidogo Ila tukijumlisha tunapata Hela nyingi na biashara hizo zinajiendesha na kuna kuwa na uhakika wa mtaji wetu kuwa safe
Hio ni sawa na mtu awekeze $42197.16 ili apewe $42 kila siku! Hio hela kwa forex ni faida za kufa mtu kila siku😂Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Hio million 100 kwa mlengaji anaweza kujaza yard ya magari😂! Zile za 5M-8M za kuuza 9M-11M tu. Mzunguko unakuwa wa uhakika.Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Watu wengi kufanya haimaanishi biashara inalipa ila watu weng ni wavivu wa kufikili nani wavivu kusimamia biashara km ya duka so wanaona ni bora nimiliki gar mahesabu jion
Wabongo weng tunaingiaga kwa biashara kwa kuangalia watu ila sio kwa kufanya utafiti na kujua faida na hasara
Ni km mtu anaetoa milion10 kununua bajaji wakat kwa iyo milion 10 unaweza fanya biashara kubwa tu na ukaingiza pesa mara 10 ya ile utakayo ingiza kila sku kwenye bajaj
Sasa mkuu kwahyo wengine tukaajiriwe kwanza alafu baadae ndio tuwekeze🤣au Maana ni kamzozoBiashara za gari hazitaki njaa, hata biashara za mabasi unaanza kuingiza faida baada ya miaka miwili kwa wastani, hizo ni biashara ya watu waliokwisha jitafuta kiuchumi, we na mkopo wako wa M 100 unataka hadi sukari utoe kwenye mapato ya gari pole sana.
Na biashara maajabu yake , ukiona biashara in return kubwa ufahau pia una risk kikubwa...
Bora huyu kuliko yule wa nyumba za kupangisha walahi.Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Nyumba haina hasara mkuu hadi wajukuu wataikuta watu wana jenga nyumba za kotazi mzee kwa 2B nao useme ni wajingaBora huyu kuliko yule wa nyumba za kupangisha walahi.
Milioni mia kwa mwezi analamba laki mbili na Nusu.
Wewe ni mpuuzi tu wa kawaida sema ndo hivyo tunakupa contents tu. Mada zako zote ni kuponda biashara za watu bila option B. Saa si ni upumbavu wa kawaida huu kama mwingine. Mtoto wa kiume wenzio wameweka pesa umekaa darajani hapo unaanza kuwaponda, kama sio uzwazwa ni ni mkuu??Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Nakumbuka nilikwisha elezea hili...Sasa mkuu kwahyo wengine tukaajiriwe kwanza alafu baadae ndio tuwekeze🤣au Maana ni kamzozo
Tunaongelea faida.Nyumba haina hasara mkuu hadi wajukuu wataikuta watu wana jenga nyumba za kotazi mzee kwa 2B nao useme ni wajinga
Wewe ni mpuuzi tu wa kawaida sema ndo hivyo tunakupa contents tu. Mada zako zote ni kuponda biashara za watu bila option B. Saa si ni upumbavu wa kawaida huu kama mwingine. Mtoto wa kiume wenzio wameweka pesa umekaa darajani hapo unaanza kuwaponda, kama sio uzwazwa ni ni mkuu??
Behave...!!!
GariTunaongelea faida.
Mkopo wa milioni mia ukiweka kwenye gari na nyumba..nani atawahi kurudisha?
Unaweza hata kukaa mwenyewe....Kuna dogo alikuwa nayo akamweka family member alikuwa anashuka 200k mpaka 150k...na yalikuwa ma Tata used kwa 40 alichukua...MTU akinunua gari mpya NI sawa tu...hata hio 100k sio mbaya NI kipato Cha ziada miaka 3 annarudisha fedha yake alafu analiuza 40milion ndio FAIDA yake...ukiipata dereva mzuri miaka mitatu kwa gari mpya inakuwa bado kinandaUngetoa ushauri akiwa 100m afanye nini ....toa options watakushukuru.....costa kawaida ni 60m inarudi miaka 2.5....gari inakaa miaka 5 ....una change engine ....rekebisha bodi inapiga tena miaka 5....ni mzunguko tu....TaTa 120m ....inaleta 200k....Yutong 250m ....inaleta less 2mil likijaa ni suala mzunguko tuuu.....Costa za Special.Hire ni 85m ...zina mzunguko wake pia
Pesa yake haikurudi,dereva alimpata mwehuNini kilimpata hadi ajute?