Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Huyu ana tofauti gani na mtu anayejenga nyumba ya sh.mil.300,halafu anapangisha kodi laki 5 kwa mwezi,kwa mwaka mil.6 na mpk hela irudi itachuka miaka 50,then aanze kutengeneza faida...?
Ebu ngoja kwanza ujenge nyumba Ya 300M alafu upangishe laki 5 kwa mwezi it doesnt make sense!

Tuseme itakuwa na frame ni hoteli inavyumba 10 Kila chumba ni laki 1 it means ni 1M perday alafu maybe kuna bar na cafe humo humo tuseme anafunga mauzo yake maybe laki mbili
au basi labda Cafe na bar kapangisha watu 250k na bar 250k kwa mwaka anapiga 10M hyo milion 300 kwa miaka 30 hapo ndo ataanza kucalculate faida
 
Huyu ana tofauti gani na mtu anayejenga nyumba ya sh.mil.300,halafu anapangisha kodi laki 5 kwa mwezi,kwa mwaka mil.6 na mpk hela irudi itachuka miaka 50,then aanze kutengeneza faida...?
Ebu ngoja kwanza ujenge nyumba Ya 300M alafu upangishe laki 5 kwa mwezi it doesnt make sense!

Tuseme itakuwa na frame ni hoteli inavyumba 10 Kila chumba ni laki 1 it means ni 1M perday alafu maybe kuna bar na cafe humo humo tuseme anafunga mauzo yake maybe laki mbili
au basi labda Cafe na bar kapangisha watu 250k na bar 250k kwa mwaka anapiga 10M hyo milion 300 kwa miaka 30 hapo ndo ataanza kucalculate faid
 
Naona watu bado wanahitaji Sana Financial and investment education,

Shida Sio unaingiza kiasi Gani cha pesa per day, shida Sio unawekeza kiasi Gani kama capital.
Kwanza tunaangalia risk ya kupoteza origin capital.
Ukichukua 100m unainvest kwenye duka ni rahisi Sana kupoteza mtaji wote kwasababu costumers ndio wanadetermine money flow kwenye biashara yako

Tofauti na biashara ya usafirishaji ambapo money floor inategemea na root zako kila siku.

Kingine watu wanahangaika kutafuta passive income( with little supervision)

Sasa MTU ameinvest 100m let's say kila day anapata 100k hapo ameshatoa gharama zote za uendeshaji wakati huo huo ana comprehensive insurance kuna shida Gani??

Hatuangalii Biashara inatoa shingapi tunaangalia tunabiashara ngapi ambazo zinatoa faida kidogo kidogo Ila tukijumlisha tunapata Hela nyingi na biashara hizo zinajiendesha na kuna kuwa na uhakika wa mtaji wetu kuwa safe
Wewe ndio unajua biashara/uwekezaji.
Mtu mwenye uwezo wa kutoa milioni 100 mfukoni means ana biashara zingine pia zinazomletea pesa.
Uzi ufungwe
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.

Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Hio ni sawa na mtu awekeze $42197.16 ili apewe $42 kila siku! Hio hela kwa forex ni faida za kufa mtu kila siku😂
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.

Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Hio million 100 kwa mlengaji anaweza kujaza yard ya magari😂! Zile za 5M-8M za kuuza 9M-11M tu. Mzunguko unakuwa wa uhakika.
 
Watu kama wewe hamfai kwenye jamii kazi yako ni kumlaumu na kukosoa toa mawazo nini kifanyike hapo sio kuona udhaifu tu peke ake ujue biashara ni Pana mzee

1.kuna biashara za MSIMU mfano za utalii, uniform za watoto, mazao mbali mbali hizi zinakupa hela nyingi mara moja then unatulia, kuna hardware kama matank ya maji, biashara ya magari makubwa hizi hazikupi hela Kila siku

2.kuna biashara ambazo inabidi uwekeze hela nyingi mwanzoni Ila pesa yako inarudi kidogo kidogo kwa miaka mingi mfano.hizi za usafirishaji, real estate, uwekezaji wa hisa kwenye kampuni mbali mbali, biashara fuel station, biashara ya ukumbi



3. Kuna biashara ambazo faida ni papo kwa hapo ni wewe tu speed yako kuuza na location nzuri mfano bucha, biashara ya vyakula, biashara ya, za urembo wa Aina zote, biashara Za service kama vile u-Mc, ushauri,Muziki n. K n. K

Sasa maamuzi ni yako











Watu wengi kufanya haimaanishi biashara inalipa ila watu weng ni wavivu wa kufikili nani wavivu kusimamia biashara km ya duka so wanaona ni bora nimiliki gar mahesabu jion

Wabongo weng tunaingiaga kwa biashara kwa kuangalia watu ila sio kwa kufanya utafiti na kujua faida na hasara

Ni km mtu anaetoa milion10 kununua bajaji wakat kwa iyo milion 10 unaweza fanya biashara kubwa tu na ukaingiza pesa mara 10 ya ile utakayo ingiza kila sku kwenye bajaj
 
Biashara za gari hazitaki njaa, hata biashara za mabasi unaanza kuingiza faida baada ya miaka miwili kwa wastani, hizo ni biashara ya watu waliokwisha jitafuta kiuchumi, we na mkopo wako wa M 100 unataka hadi sukari utoe kwenye mapato ya gari pole sana.

Na biashara maajabu yake , ukiona biashara in return kubwa ufahau pia una risk kikubwa...
Sasa mkuu kwahyo wengine tukaajiriwe kwanza alafu baadae ndio tuwekeze🤣au Maana ni kamzozo
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.

Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Bora huyu kuliko yule wa nyumba za kupangisha walahi.

Milioni mia kwa mwezi analamba laki mbili na Nusu.
 
Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.

Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Wewe ni mpuuzi tu wa kawaida sema ndo hivyo tunakupa contents tu. Mada zako zote ni kuponda biashara za watu bila option B. Saa si ni upumbavu wa kawaida huu kama mwingine. Mtoto wa kiume wenzio wameweka pesa umekaa darajani hapo unaanza kuwaponda, kama sio uzwazwa ni ni mkuu??

Behave...!!!
 
Wewe ni mpuuzi tu wa kawaida sema ndo hivyo tunakupa contents tu. Mada zako zote ni kuponda biashara za watu bila option B. Saa si ni upumbavu wa kawaida huu kama mwingine. Mtoto wa kiume wenzio wameweka pesa umekaa darajani hapo unaanza kuwaponda, kama sio uzwazwa ni ni mkuu??

Behave...!!!

Tunaongelea faida.

Mkopo wa milioni mia ukiweka kwenye gari na nyumba..nani atawahi kurudisha?
Gari
 
Hivi Kwa akili yako unadhani kusingekuwa na faida Kuna mtu angepambana na biashara kichaa!
 
Ungetoa ushauri akiwa 100m afanye nini ....toa options watakushukuru.....costa kawaida ni 60m inarudi miaka 2.5....gari inakaa miaka 5 ....una change engine ....rekebisha bodi inapiga tena miaka 5....ni mzunguko tu....TaTa 120m ....inaleta 200k....Yutong 250m ....inaleta less 2mil likijaa ni suala mzunguko tuuu.....Costa za Special.Hire ni 85m ...zina mzunguko wake pia
Unaweza hata kukaa mwenyewe....Kuna dogo alikuwa nayo akamweka family member alikuwa anashuka 200k mpaka 150k...na yalikuwa ma Tata used kwa 40 alichukua...MTU akinunua gari mpya NI sawa tu...hata hio 100k sio mbaya NI kipato Cha ziada miaka 3 annarudisha fedha yake alafu analiuza 40milion ndio FAIDA yake...ukiipata dereva mzuri miaka mitatu kwa gari mpya inakuwa bado kinanda
 
Back
Top Bottom