Akili inayotumika kumponda Hayati Dkt. Magufuli ndio ile ile iliyowagharimu wana Libya

Shukrani kwa kuja kwenye uzi huu.
====
Maelezo uliyoyatoa yanahitaji back up ya ushahidi usiotiliwa shaka na unaomuhusisha moja kwa moja Rais Magufuli (R.I.P) na mambo yaliyokufanya uache kumuunga mkono.

Karibu.
 
Nani aliteswa mbona mnapenda sana kamsemo hicho
 
Shukrani kwa kuja kwenye uzi huu.
====
Maelezo uliyoyatoa yanahitaji back up ya ushahidi usiotiliwa shaka na unaomuhusisha moja kwa moja Rais Magufuli (R.I.P) na mambo yaliyokufanya uache kumuunga mkono.

Karibu.
Raisi Magufuli was a Traitor and a Ruthless Assassin....
Only a fool would dispute this, and I don't think you are foolish.
 
Nani alitolewa roho bila hurum awe ni lile kundi la wenye vyeti feki ndo kila siku mna laani
 
natumai kabla ya kuiweka hapa hii link umeisoma, niambie nje na elimu na huduma ya afya bure ni wapi tena muandishi kaelezea swala la Dola 100 kila anaetaka kuoa?
kwa sensa ya mwaka Jana walibya wapo 6.9 milion kwa MUKTADHA huo utajiri wa libya elimu na afya bure sio håbari kusisimua.
Elimu bure hata sisiem wanaitoa ila ndiyo hiyo
inazalisha utitiri wa vilaza mtaani.
 
Nani alitolewa roho bila hurum awe ni lile kundi la wenye vyeti feki ndo kila siku mna laani
Tatizo letu kubwa sisi watanzania ni kwamba hatuna kabisa HOFU YA MUNGU siku hizi na wala hatupendi kusema UKWELI. Lakini kubwa zaidi ni kwamba uelewa wetu uko chini BELOW- AVARAGE, ndiyo maana kuna baadhi ya mambo unaweza ukahisi unatetea kwa uzalendo kumbe unafanya hivyo kwasababu uelewa wako ni mdogo.

Hao unaowatukana kwamba wana vyeti feki ni watanzania kama wewe, ambao wamekaa kwenye utumishi wa umma kwa zaidi ya miaka thelathini. Wamelitumikia hili taifa, wamelipa na kodi, isitoshe wengine wemekufundisha wewe huko shuleni hadi ukapata hiyo elimu ambayo unakuja nayo hapa kuwakashifu.

Jeshi la polisi na wananchi sehemu nyeti kabisa lina maofisa wengi tu ambao binafsi nawafahamu kwamba wana vyeti feki. Lakini wanadunda mpaka leo hii, kwasababu Raisi Magufuli alifahamu fika nini madhara ya kuwatimua hawa. Lakini akaenda kwa wadhaifu, kama walimu na makarani ambao wengine walikuwa wanakaribia kabisa kustaafu. Akawafukuza bila huruma na kutowapa chochote kile.

Aina hii ya uzalendo waliifanya wakina Interahamwe wa Rwanda na Wanazi wa Ujerumani, kulaumu kundi fulani kwa matatizo ya nchi. Mtu yoyote mwenye akili timamu lazima aguswe na hiki kitu: A wise man once said, evaluate your battles carefully, for sometimes peace is more important than being right........
 
Hata ice cream inawakera wanyea gongo
 
Hivi wazungumzia kanisa gani hilo?
Kutokana na hili, umakini na hasa hoja zako vinatia shaka.
Hio ni namna ya kukufanya uelewe kwa wepesi don’t feel offended!

Kiongozi lazma atambue wajibu wake ni kuwatumikia wananchi waliompa nafasi ya madaraka. Ikifikia mahala kiongozi anaweza kuropoka anavyojiskia bila kujali welfare ya waliompa madaraka na kujikita katika kujineemesha yeye binafsi inakuwa ni uhuni uliotokuka.

Matokeo yake tunakuwa na jamii inayolalamika kila kukicha kuwa haitendewi haki. Wanachangisha matozo ila bado ada za watoto lazima mlipe mwakani! Kodi katika kila kitu hazitoshi maana huduma ni mbovu kichizi!
 
mkuu umevamia siasa, umenifanya niifute vumbi miwani nikirejea kusoma ID yako, nakushauri unywe maji mengi kisha upande kitandani upumzike.

hitimisho lako limeonesha ulivyomweupe kisiasa, yaani mtu aue, atese watu, adhulumu watu, madam anakupa huduma basi kwako ni bora?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…