Akili kumi za kumteka mwanamke

Akili kumi za kumteka mwanamke

Sasa hayo mambo yote unayafanya ili TU mwanamke akae katika ndoa? Nafikiri binaadam Bado hawajagundua kusudi la wao kuja kuishi duniani.
Hivi unajua hakuna amri kuu duniani zaidi ya mahusiano!kusudi mojawapo la kuishi ni kutengeneza mahusiano mazuri na M-ngu, wazazi,ndugu,mke,mume na watu wengine,au Kuna kusudi lipi lingine?
 
Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa.
Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life"

mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama wanahitaji ndoa au wanataka ndoa,they think marriage is for everybody,wanafikiri ukiwa na pesa tu inatosha kuwin race,ingekuwa hivyo ndoa za matajiri zisingevunjika,ndoa inahitaji misuli ya akili.

twende Sasa kwenye akili kumi za kumteka mwanamke(mke)

1. Be transparent


Ukitaka kuiteka akili ya mwanamke kuwa mwuwazi hasa kwenye mawasiliano,mpe password zako zote,wanawake huwa wanapenda kuchunguza Sana simu za waume zao,coz they believe every man is a cheater,so to prove her wrong mwachie simu yako hata siku nzima then utakuja kutupa mrejesho hapa, mm naweza kumwachia wife simu hata wiki,nafanya hivyo makusudi ili nijijengee uaminifu.

2. Mzidi mambo ya msingi
(Yapo matano)

Unatakiwa kumzidi elimu,kipato,umri,kimo na akili,kwenye hayo matano la msingi zaidi ni Akili,acha akuzidi mambo yote lkn usiruhusu akuzidi akili,you have to be smarter than her,nje hapo utakuja na uzi wa kulialia na kusema ndoa ni ujambazi,kwenye hayo matano,nimempita wife elimu,kipato,kimo,umri tunalingana ila akili nimemwacha mbali Sana,anapokuwa na swali lolote la ki intelligencia lazima kwanza anione expert wake.

3.Mchagulie marafiki

Ukimwacha eva wako ajichagulie marafiki,atachagua nyoka,so plz usifanye hili kosa,tumia akili kumweka mkeo karibu na wanawake matured kiroho na kiakili,ukitaka awe business woman basi mweke karibu na business women waliotoboa,ukitaka awe wife material mweke karibu na wanawake wanaoheshimu ndoa zao "Akili ya mwanamke inakula kwa mwanamke mwenzake"so find matured women to feed her"

4.Najua kuoa sijui kuacha

Hii akili niliipata kwa mzee wangu,mara nyingi mama anapotishia kuondoka na kudai talaka mzee alikuwa anasema hilo neno kwa kurudia rudia "najua kuoa sijui kuacha" basi mama ananyong'onyea anakuwa mpole maisha yanaendelea!nikaichukua hii akili,sema tu kwa sauti ili asikie,"najua kuoa sijui kuacha,wadau kuacha bila sababu za msingi ni udhaifu mkubwa ila kuachwa bila sababu za msingi huo ni ushujaa.

5. Saidia ndugu zake bila kumshirikisha

Ndugu au wazazi wake wana uhitaji solve kimya kimya,wao ndio waje wamwambie ulichowafanyia,siku akijua itagusa sana hisia zake na atakuona ni mtu unayejali na kujitoa.

6. Kataa vikao vya usuluhishi

Tangu nimeoa(10 yrs now)sijawahi kukaa kikao cha kusuluhisha ndoa,hii kitu niliikataa tangu mwanzo,kwasababu maamuzi ya kwny vikao vingi yana mlengo wa kike,vikao vina reduce your manhood,Kama mke haelewi itikadi zako,mwache arudi kwao akapumzike au akubali tu myamalize kimya kimya,maisha yaendelee.

7. Usiishi mbali na mke

Nimeona ndoa kadhaa eti mwanamke yuko dom,mwanaume yuko dar,mbaya zaidi wanakaa kwny hali hiyo miaka na miaka,dah!Mimi sitakaa nifanye kosa hilo,au Kuna wale jamaa wa kazi za kusafiri,miezi hayupo nyumbani,hata Kama maisha magumu isiwe sababu ya kufanya kazi yoyote bila kujali afya ya mahusiano yako,akili ni kufanya kazi inayokuweka karibu na familia.

8. Be her boss

Kama una mapafu ya kutengeneza project flani hv ya kifamilia na mkeo akawa supervisor fanya hivyo,hakikisha unamlipa mshahara ili aone ni kazi Kama kazi zingine"Be her boss" wadau huko maofisini maboss wanafaidi sana,nadhani utakuwa umeshasikia masuala ya rushwa ya ngono,wake za watu ni wahanga wakubwa, believe it or not!

9.Fanya mambo makubwa bila kumwambia(be unpredictable)

Mwanamke anatakiwa ashindwe kukutabiri,asijue nini utafanya next,hapo utaiteka akili yake kirahisi sana,kuna kipindi nilijenga nyumba,naweka msingi hajui,napandisha tofari hajui,nafunga linta hajui,nikafika hatua ya kupaua,ndio nikamwambia nenda kule site,wkt huo jamaa washapiga kenchi,kawakuta wanapiga bati,akajua amepotea,simply she was confused!dat day,narudia tena dat day,nilipewa shoo ya kibabe,ya kukata kwa shoka😂🤣.
Be unpredictable usim boe mkeo!

10. Two sided life

Hapa namaanisha uwe na maisha ya sehemu mbili,eneo moja unaishi na familia eneo jingine unaspend time alone na hakikisha lina utulivu wa kutosha,why this? Ndoa zinachamoto zake,sometimes stress ni nyingi,you want to be alone so tengeneza hiyo comfort zone iwe ni mahali pa faraja na meditation kwa afya ya akili.

Note this
Wadau najua unaweza kufanya hayo yote na bado ukaachwa,hapa nirudie tena kusema kwa herufi kubwa KUACHWA NI USHUJAA
KUACHA NI UDHAIFU


Women are complicated creatures,the late Abraham Lincoln aliwahi kusema"Woman is the only thing I am afraid of,that I know will not hurt me"

View attachment 3031353
Hebu tuzidi kupeana akili na mbinu za kuishi na Hawa viumbe,tuziokoe ndoa nyingi zinazoelekea kufa na M-ngu atubariki.
Madini sana. Ujuzi sana. Saluti. Umeongea hoja nzito. Namalizia kitabu changu kuhusu haya maisha ya ndoa. Bila shaka nitafanya reference (with aknowledge) katika kanuni hizi kumi.

Najua wanawake wanajua kuwa wanaume (waume) hutangulia kufa. Binafsi naamini katika kumweka wazi kuwa sihofii kufa hata wakati wowote. Akiamua kunistress na afanye hivyo muhimu nijaliwe kifo chema. Muhimu niondoke katika dunia hii ningali na nguvu zangu (80 - 85 yrs 🙏) ili nisimsumbue mtu. Nikiwa na confidence hii na nikimweleza wazi, hasa pale zinapotokea changamoto, naamini kabisa kuwa mwanamke huyu atajua kuwa huyu mwanaume anajiamini. Hakuna cha kumfanya ahofie ahera
 
Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa.
Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life"

mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama wanahitaji ndoa au wanataka ndoa,they think marriage is for everybody,wanafikiri ukiwa na pesa tu inatosha kuwin race,ingekuwa hivyo ndoa za matajiri zisingevunjika,ndoa inahitaji misuli ya akili.

twende Sasa kwenye akili kumi za kumteka mwanamke(mke)

1. Be transparent


Ukitaka kuiteka akili ya mwanamke kuwa mwuwazi hasa kwenye mawasiliano,mpe password zako zote,wanawake huwa wanapenda kuchunguza Sana simu za waume zao,coz they believe every man is a cheater,so to prove her wrong mwachie simu yako hata siku nzima then utakuja kutupa mrejesho hapa, mm naweza kumwachia wife simu hata wiki,nafanya hivyo makusudi ili nijijengee uaminifu.

2. Mzidi mambo ya msingi
(Yapo matano)

Unatakiwa kumzidi elimu,kipato,umri,kimo na akili,kwenye hayo matano la msingi zaidi ni Akili,acha akuzidi mambo yote lkn usiruhusu akuzidi akili,you have to be smarter than her,nje hapo utakuja na uzi wa kulialia na kusema ndoa ni ujambazi,kwenye hayo matano,nimempita wife elimu,kipato,kimo,umri tunalingana ila akili nimemwacha mbali Sana,anapokuwa na swali lolote la ki intelligencia lazima kwanza anione expert wake.

3.Mchagulie marafiki

Ukimwacha eva wako ajichagulie marafiki,atachagua nyoka,so plz usifanye hili kosa,tumia akili kumweka mkeo karibu na wanawake matured kiroho na kiakili,ukitaka awe business woman basi mweke karibu na business women waliotoboa,ukitaka awe wife material mweke karibu na wanawake wanaoheshimu ndoa zao "Akili ya mwanamke inakula kwa mwanamke mwenzake"so find matured women to feed her"

4.Najua kuoa sijui kuacha

Hii akili niliipata kwa mzee wangu,mara nyingi mama anapotishia kuondoka na kudai talaka mzee alikuwa anasema hilo neno kwa kurudia rudia "najua kuoa sijui kuacha" basi mama ananyong'onyea anakuwa mpole maisha yanaendelea!nikaichukua hii akili,sema tu kwa sauti ili asikie,"najua kuoa sijui kuacha,wadau kuacha bila sababu za msingi ni udhaifu mkubwa ila kuachwa bila sababu za msingi huo ni ushujaa.

5. Saidia ndugu zake bila kumshirikisha

Ndugu au wazazi wake wana uhitaji solve kimya kimya,wao ndio waje wamwambie ulichowafanyia,siku akijua itagusa sana hisia zake na atakuona ni mtu unayejali na kujitoa.

6. Kataa vikao vya usuluhishi

Tangu nimeoa(10 yrs now)sijawahi kukaa kikao cha kusuluhisha ndoa,hii kitu niliikataa tangu mwanzo,kwasababu maamuzi ya kwny vikao vingi yana mlengo wa kike,vikao vina reduce your manhood,Kama mke haelewi itikadi zako,mwache arudi kwao akapumzike au akubali tu myamalize kimya kimya,maisha yaendelee.

7. Usiishi mbali na mke

Nimeona ndoa kadhaa eti mwanamke yuko dom,mwanaume yuko dar,mbaya zaidi wanakaa kwny hali hiyo miaka na miaka,dah!Mimi sitakaa nifanye kosa hilo,au Kuna wale jamaa wa kazi za kusafiri,miezi hayupo nyumbani,hata Kama maisha magumu isiwe sababu ya kufanya kazi yoyote bila kujali afya ya mahusiano yako,akili ni kufanya kazi inayokuweka karibu na familia.

8. Be her boss

Kama una mapafu ya kutengeneza project flani hv ya kifamilia na mkeo akawa supervisor fanya hivyo,hakikisha unamlipa mshahara ili aone ni kazi Kama kazi zingine"Be her boss" wadau huko maofisini maboss wanafaidi sana,nadhani utakuwa umeshasikia masuala ya rushwa ya ngono,wake za watu ni wahanga wakubwa, believe it or not!

9.Fanya mambo makubwa bila kumwambia(be unpredictable)

Mwanamke anatakiwa ashindwe kukutabiri,asijue nini utafanya next,hapo utaiteka akili yake kirahisi sana,kuna kipindi nilijenga nyumba,naweka msingi hajui,napandisha tofari hajui,nafunga linta hajui,nikafika hatua ya kupaua,ndio nikamwambia nenda kule site,wkt huo jamaa washapiga kenchi,kawakuta wanapiga bati,akajua amepotea,simply she was confused!dat day,narudia tena dat day,nilipewa shoo ya kibabe,ya kukata kwa shoka😂🤣.
Be unpredictable usim boe mkeo!

10. Two sided life

Hapa namaanisha uwe na maisha ya sehemu mbili,eneo moja unaishi na familia eneo jingine unaspend time alone na hakikisha lina utulivu wa kutosha,why this? Ndoa zinachamoto zake,sometimes stress ni nyingi,you want to be alone so tengeneza hiyo comfort zone iwe ni mahali pa faraja na meditation kwa afya ya akili.

Note this
Wadau najua unaweza kufanya hayo yote na bado ukaachwa,hapa nirudie tena kusema kwa herufi kubwa KUACHWA NI USHUJAA
KUACHA NI UDHAIFU


Women are complicated creatures,the late Abraham Lincoln aliwahi kusema"Woman is the only thing I am afraid of,that I know will not hurt me"

View attachment 3031353
Hebu tuzidi kupeana akili na mbinu za kuishi na Hawa viumbe,tuziokoe ndoa nyingi zinazoelekea kufa na M-ngu atubariki.
Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa.
Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life"

mchawi wa mafanikio makubwa yoyote yale ni ujinga,watu wengi wameingia kwenye ndoa na hawajui ndoa ni Nini?hawajui Kama wanahitaji ndoa au wanataka ndoa,they think marriage is for everybody,wanafikiri ukiwa na pesa tu inatosha kuwin race,ingekuwa hivyo ndoa za matajiri zisingevunjika,ndoa inahitaji misuli ya akili.

twende Sasa kwenye akili kumi za kumteka mwanamke(mke)

1. Be transparent


Ukitaka kuiteka akili ya mwanamke kuwa mwuwazi hasa kwenye mawasiliano,mpe password zako zote,wanawake huwa wanapenda kuchunguza Sana simu za waume zao,coz they believe every man is a cheater,so to prove her wrong mwachie simu yako hata siku nzima then utakuja kutupa mrejesho hapa, mm naweza kumwachia wife simu hata wiki,nafanya hivyo makusudi ili nijijengee uaminifu.

2. Mzidi mambo ya msingi
(Yapo matano)

Unatakiwa kumzidi elimu,kipato,umri,kimo na akili,kwenye hayo matano la msingi zaidi ni Akili,acha akuzidi mambo yote lkn usiruhusu akuzidi akili,you have to be smarter than her,nje hapo utakuja na uzi wa kulialia na kusema ndoa ni ujambazi,kwenye hayo matano,nimempita wife elimu,kipato,kimo,umri tunalingana ila akili nimemwacha mbali Sana,anapokuwa na swali lolote la ki intelligencia lazima kwanza anione expert wake.

3.Mchagulie marafiki

Ukimwacha eva wako ajichagulie marafiki,atachagua nyoka,so plz usifanye hili kosa,tumia akili kumweka mkeo karibu na wanawake matured kiroho na kiakili,ukitaka awe business woman basi mweke karibu na business women waliotoboa,ukitaka awe wife material mweke karibu na wanawake wanaoheshimu ndoa zao "Akili ya mwanamke inakula kwa mwanamke mwenzake"so find matured women to feed her"

4.Najua kuoa sijui kuacha

Hii akili niliipata kwa mzee wangu,mara nyingi mama anapotishia kuondoka na kudai talaka mzee alikuwa anasema hilo neno kwa kurudia rudia "najua kuoa sijui kuacha" basi mama ananyong'onyea anakuwa mpole maisha yanaendelea!nikaichukua hii akili,sema tu kwa sauti ili asikie,"najua kuoa sijui kuacha,wadau kuacha bila sababu za msingi ni udhaifu mkubwa ila kuachwa bila sababu za msingi huo ni ushujaa.

5. Saidia ndugu zake bila kumshirikisha

Ndugu au wazazi wake wana uhitaji solve kimya kimya,wao ndio waje wamwambie ulichowafanyia,siku akijua itagusa sana hisia zake na atakuona ni mtu unayejali na kujitoa.

6. Kataa vikao vya usuluhishi

Tangu nimeoa(10 yrs now)sijawahi kukaa kikao cha kusuluhisha ndoa,hii kitu niliikataa tangu mwanzo,kwasababu maamuzi ya kwny vikao vingi yana mlengo wa kike,vikao vina reduce your manhood,Kama mke haelewi itikadi zako,mwache arudi kwao akapumzike au akubali tu myamalize kimya kimya,maisha yaendelee.

7. Usiishi mbali na mke

Nimeona ndoa kadhaa eti mwanamke yuko dom,mwanaume yuko dar,mbaya zaidi wanakaa kwny hali hiyo miaka na miaka,dah!Mimi sitakaa nifanye kosa hilo,au Kuna wale jamaa wa kazi za kusafiri,miezi hayupo nyumbani,hata Kama maisha magumu isiwe sababu ya kufanya kazi yoyote bila kujali afya ya mahusiano yako,akili ni kufanya kazi inayokuweka karibu na familia.

8. Be her boss

Kama una mapafu ya kutengeneza project flani hv ya kifamilia na mkeo akawa supervisor fanya hivyo,hakikisha unamlipa mshahara ili aone ni kazi Kama kazi zingine"Be her boss" wadau huko maofisini maboss wanafaidi sana,nadhani utakuwa umeshasikia masuala ya rushwa ya ngono,wake za watu ni wahanga wakubwa, believe it or not!

9.Fanya mambo makubwa bila kumwambia(be unpredictable)

Mwanamke anatakiwa ashindwe kukutabiri,asijue nini utafanya next,hapo utaiteka akili yake kirahisi sana,kuna kipindi nilijenga nyumba,naweka msingi hajui,napandisha tofari hajui,nafunga linta hajui,nikafika hatua ya kupaua,ndio nikamwambia nenda kule site,wkt huo jamaa washapiga kenchi,kawakuta wanapiga bati,akajua amepotea,simply she was confused!dat day,narudia tena dat day,nilipewa shoo ya kibabe,ya kukata kwa shoka😂🤣.
Be unpredictable usim boe mkeo!

10. Two sided life

Hapa namaanisha uwe na maisha ya sehemu mbili,eneo moja unaishi na familia eneo jingine unaspend time alone na hakikisha lina utulivu wa kutosha,why this? Ndoa zinachamoto zake,sometimes stress ni nyingi,you want to be alone so tengeneza hiyo comfort zone iwe ni mahali pa faraja na meditation kwa afya ya akili.

Note this
Wadau najua unaweza kufanya hayo yote na bado ukaachwa,hapa nirudie tena kusema kwa herufi kubwa KUACHWA NI USHUJAA
KUACHA NI UDHAIFU


Women are complicated creatures,the late Abraham Lincoln aliwahi kusema"Woman is the only thing I am afraid of,that I know will not hurt me"

View attachment 3031353
Hebu tuzidi kupeana akili na mbinu za kuishi na Hawa viumbe,tuziokoe ndoa nyingi zinazoelekea kufa na M-ngu atubariki.
Inaonekana wewe ni mwanazuoni ...may be PHD au Profesa flani uchwara...hauwajui wanawake..tafuta hela kwanza
 
Umeniacha hapo kwenye kuwa muwazi(transparent) halafu eti pia ufanye mambo makubwa bila kumwambia, Sasa nini point ya kuwa muwazi.
Kama tayari umekuwa unpredictable Kwa kufanya mambo makubwa bila kumwambia au unamwambia katika muda utakaokupendeza wewe ,tayari hamna uwazi hapo.
 
Back
Top Bottom