Akili ya BMW kwenye Magari

Asee nasikia hata porshe wanatumia hili jiko la DSG
Porsche na Skoda wanatumia hayo majiko ya DSG alafu yenyewe yanatumia dual clutch plate ndiyo maana Volkswagen magari yanaanzia six speed transmission
 
Usisahau VW Tiguan ndo best seller mid-SUV europe

Hawa VW ndo walimzaa Audi na Automobiles maker nyingi tu duniani.wakongwe ni untouchable [emoji1477]
VW Group huyo unaweza kusema untouchable.. Anabrands nyingi ndani yake.. Hizo brands zimecover vipengele almost vyote.. Kuanzia performance mpaka luxury..

Ila VW kama brand hiyo bado..
Haijafika level ya engines kama za BMW..
Haijafika level ya interior na luxury kama Mercedes..
Perfomance section yao R bado ni changa ukilinganisha na M ya BMW na AMG ya Mercedes..!
Wanajikongoja..!
VW kama brand haina uwezo wa kukaa meza moja na BMW au Mercedes..!

Audi kwenye VW Group ndio anajitahidi kwenda sawa na hao giants..
BMW 7 Series anakaa meza moja na Benz S Class wakipiga stori huku Audi A8 yupo jikoni akisikiliza conversation ya hao giants..!
 
Nimesoma makala Fulani mtandoni nimepata elimu kubwa Sana juu ya BMW,Kwa kifupi hawa BMW hawana wapinzani kwenye engine Kwa magari yote ya kijerumani.
BMW ni zaidi ya Volkswagen Kwa mambo mengi hata kwenye budget ya kufanya research BMW ndiyo kampuni inaongoza Kwa kifupi hawa ni level nyingine kabisaa
 
Where is Porsche in all this?
 
Power output ya engines za BMW zinakuwa understated. Ukiona imeandikwa 350hp ongeza 50hp nyingine ndo true output power.
 

Nawakaubali sana Mercedes sema sio cost-effective

Kupata Mercedes tu yenye kukupa radha ya crown itabidi ujipange almost double or tripple the price

BMW yes tatizo reliability hasa mazingira yetu sisi
 
Kumbuka VW is owned by Porsche hata kama Porsche ipo chini ya VW group.
Kuna Porsche SE..
Kuna Porsche AG..

SE hao ni watu wa investments.. Ndio wamewekeza hisa VW Group..
AG hawa ndio wanatengeneza magari..

Kwahiyo kwenye VW Group hisa nyingi anazo Porsche SE.. Ila VW Group anamiliki magari yanayotengenezwa na Porsche AG..!
 
Unaponunua gari angalia mahitaji yako. Usifuate mkumbo, Kuna watu wanasifia walichonacho hata kama wanateseka.

Pia, gari inaweza kuwa nzuri kwa mtu mmoja ikawa ya kijinga kwa mtu mwingine.
Sio kweli tukinunua gari za zamani ndio zinasumbua ila brand yeyote iwe ya miaka ya katibuni hata 2010 kuja mbele sio una gari ya 2002 unakuja kulalamika matatizo yake unawezaje kukosa matatizo hapo...
 
Mchina .
 

Attachments

  • Screenshot_20240120_095113_Chrome.jpg
    154.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240120_095156_Chrome.jpg
    81.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20240120_095422_Chrome.jpg
    180.4 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…