Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Ananga akili huyo. Ni class five drop out.Fungua uzi mwngine wa irrigation scheme tuje tuupige na chini pia[emoji23][emoji23][emoji23]Amekimbia mada yake ya bajeti[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananga akili huyo. Ni class five drop out.Fungua uzi mwngine wa irrigation scheme tuje tuupige na chini pia[emoji23][emoji23][emoji23]Amekimbia mada yake ya bajeti[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ninajua kwamba ninachat na "Monkey" kama wachina walivyowaita wakenya. Ninyi ni nyani tu, ndio sababu POLISI wenu wanawawinda na kuwaua kila sikuKumbe naargue na baboon na sijui? Good day jellyfish.
Hamna akili, msingeweza kuchukiana na kuuana kwa misingi ya ukabila.Ananga akili huyo. Ni class five drop out.
@tuusan njoo hapa,wewe ndio ulikuwa unauliza mbona middle income country inakopa pesa ya miradi .ukiangalia budget ya kenya ya elimu pekee ni zaidi ya mara kumi ya Tanzania ivi mfano tungeamua tutenge usd 500,mln tungebaki na change $4.5bn iyo pesa pekee iko na sgr mzima kutoka dar Hadi Kigali....We are proud of being multilingual. We can speak both languages.
Wacha kupotelea thread. Tanzania agricaltural budget ni $98mil , education budget ni$565 ...tofauti na kenya iko wapi .
Kenya agri=$500mil
Education:$5bil
Clearly the Tanzanian government also values education juslt like the Kenyan government.
Hamjajipanga sawasawa iyo budget ya elimu Tz kumbuka watoto wa pr sch and ordinary level hawalipiwi ada na bado watoto wa university wenye sifa wanapewa mikopo kama kawaida,Na bado mambo mengine yanaenda kwa ufanisi@tuusan njoo hapa,wewe ndio ulikuwa unauliza mbona middle income country inakopa pesa ya miradi .ukiangalia budget ya kenya ya elimu pekee ni zaidi ya mara kumi ya Tanzania ivi mfano tungeamua tutenge usd 500,mln tungebaki na change $4.5bn iyo pesa pekee iko na sgr mzima kutoka dar Hadi Kigali....
[emoji23][emoji23] finish that ccm tentacle@tuusan njoo hapa,wewe ndio ulikuwa unauliza mbona middle income country inakopa pesa ya miradi .ukiangalia budget ya kenya ya elimu pekee ni zaidi ya mara kumi ya Tanzania ivi mfano tungeamua tutenge usd 500,mln tungebaki na change $4.5bn iyo pesa pekee iko na sgr mzima kutoka dar Hadi Kigali....
Bajeti ya elimu kenya inajenga sgr jiwe mpka kigali na inabaki change[emoji23][emoji23]@tuusan njoo hapa,wewe ndio ulikuwa unauliza mbona middle income country inakopa pesa ya miradi .ukiangalia budget ya kenya ya elimu pekee ni zaidi ya mara kumi ya Tanzania ivi mfano tungeamua tutenge usd 500,mln tungebaki na change $4.5bn iyo pesa pekee iko na sgr mzima kutoka dar Hadi Kigali....
Mbona kwenu mlijengewa pesa za mikopo ilhali pesa mnazo? Ndio maana mnatumia mitungi ya mbege na hamuwez hata kuongeaBajeti ya elimu kenya inajenga sgr jiwe mpka kigali na inabaki change[emoji23][emoji23]
Why take the risk of people getting stupid for some rails & concrete on the ground. Wacha mradi ukope na ujilipe wenyewe.Mbona kwenu mlijengewa pesa za mikopo ilhali pesa mnazo? Ndio maana mnatumia mitungi ya mbege na hamuwez hata kuongea
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Watoto wanasoma na ufaulu unaongezeka wewe piga domoWhy take the risk of people getting stupid for some rails & concrete on the ground. Wacha mradi ukope na ujilipe wenyewe.
Kodi ya Wakenya inatumika kuwaelimisha.
For your information development starts from the mind.
Nyinyi wabongo sijui serikali yenu hufikiria aje but anyways kila nyani na starehe zake.
Kwa mdomo na kukurupuka kwako pekee lakini facts kwa meza zinakataa hiyo.Watoto wanasoma na ufaulu unaongezeka wewe piga domo
Uwezo wa kifikiri?iyo inaweza isihusiane sana na elimuKwa mdomo na kukurupuka kwako pekee lakini facts kwa meza zinakataa hiyo.
Ata kutoka hapa Jf utaona tu elimu na uwezo wa kufikiria wa watanzania ni finyu.
Uwezo wa kufikiri unakosaje kuhusiana na elimu jameni?Uwezo wa kifikiri?iyo inaweza isihusiane sana na elimu
Hey,nenda na usirudi tena ila wakat unaenda chukua hii,unaweza kua unafikiria sana ukatoka na suluhu ya matope na ukafikiri kidogo ukatoka na suluhu bora zaidi!!endeeleni kufikiri mnavyoweza tutakutana kwenye matokeo!!Wewe tayari unaprove point Yangu. Bye.
Uwezo wa kufiri hauna uhusiano na elimu ya mtu.ujue kuanzia sasa.Uwezo wa kufikiri unakosaje kuhusiana na elimu jameni?
Wewe tayari unaprove point Yangu. Bye.
Lakini imeshindwa kumalizia kipande cha Naivasha hadi Malaba, akili hizi zinapatikana Kibera pekeeBajeti ya elimu kenya inajenga sgr jiwe mpka kigali na inabaki change[emoji23][emoji23]
Vipi haya yote yanafanyika Tanzania?Hahahaha,
1) Mikopo yenye riba nafuu, au isiyo na riba kwa wakulima
2) Kuwekwa miundombinu ya umwagiliaji maji, hasa katika sehemu zenye jangwa
3) Kuchimba Visima na mabwawa kwa ajili ya mifugo na KILIMO
4) Kuweka ruzuku kubwa katika mbolea, mbegu, dawa na zana zingine za ufugaji na KILIMO
5) Kununua mazao ya wakulima(hasa ya Chakula) pale ambapo bei ya mazao yao ipo chini ili kuwaepusha na hasara.
6) Kuhakikisha maghala ya Taifa yananunua na kuhifadhi Chakula cha kutosha muda wote.
Kama kweli Serikali ya Kenya inazingatia na kutoa kipaumbele uchumi na maisha ya wajenya wa hali ya chini, hiyo $5B ingepeleka kwenye KILIMO, zaidi ya wajenya 25M wangesaidika, wangeweza kuinua vipato vya familia zao na kuweza kugharimia Elimu ya watoto wao.
Kilimo kibaathiri sector zingine zote "directly" and within very short time.
90% yanafanyika, ndio sababu nchi inazalisha Chakula kuweza kuwalisha majirani, mazao yanayozalishwa ni rahisi ukilinganishwa na yanayozalishwa nchi za Jirani.Vipi haya yote yanafanyika Tanzania?
Una uhakika ni jitihada za serikali au wajasiriamali wanajitoa wenyewe tu??90% yanafanyika, ndio sababu nchi inazalisha Chakula kuweza kuwalisha majirani, mazao yanayozalishwa ni rahisi ukilinganishwa na yanayozalishwa nchi za Jirani.