Akili za watanzania wengi bado hazipo tayari kupata maendeleo

Akili za watanzania wengi bado hazipo tayari kupata maendeleo

Una hoja.. ila nadhani haya mambo yangeweza kurekebishika ikiwa wenyeviti wa mitaa ambao ndio huwa wanasimamia uuzwaji wa viwanja wangekuwa kidogo na elimu.

Ila shida unakuta wenyeviti wa mitaa wameishia lasaba.. kwahiyo uwezo wa kuelewa kwamba mpangilio ni muhimu kuwepo.. kwake ni shida
Kuna udumavu wa akili kuanzia kwa viongozi hadi wananchi...na hii inatokana na elimu inayotolewa, kutukuza kiswahili na kutosisimua udadisi, nk
 
Kuna udumavu wa akili kuanzia kwa viongozi hadi wananchi...na hii inatokana na elimu inayotolewa, kutukuza kiswahili na kutosisimua udadisi, nk
Mimi nadhani hata wakifundishwa kwa kiswahili wataelewa tu.. sidhani kwamba msingi wa tatizo ni lugha ya kiswahili
 
Back
Top Bottom