I love this answer. Kwanza kakupa bill ndogo...ulikuwa unatakiwa utoe pesa ya taxi (au ya mafuta kama anadrive) pesa ya lingeries, kucha kope etc....msione vyaelea vimeundwa.
afu mwenyewe nimekamuka ile mbaya na tu-victoria secret na unasubiria yale mambo kwa hamu,huku kuna 'jambazi' lingine linasubiria kuvitoa vi-lingerie kwa meno mwilini wakati wa 'yale mambo yetu yale'....kudadadeki,hivi niliwezaje kuwa playboy mimi!!!?wallh sasa hivi siwezi,yani ndo nimegundua now now!!