Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Akina dada, kwanini mnakubali kutoa namba kisha mkipigiwa simu hampokei?

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
719
Reaction score
2,408
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.

Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
 
Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile. Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Alitoa namba uache kumsumbua, maana mnajuaga kuganda mtu mkiwa mnataka namba. Hapo ushaseviwa 'usipokee 3'
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile. Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Kama hapokei tupia ka muamala then usimtafute uone kama hatokutafuta na sorry kama zote
 
Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Hilo ndo tatizo la sisi waafrica ya kufanya jambo kwa kuogopa macho ya watu.
Mtu akikuomba namba kama unaona huna uhitaji na mawasiliano nae unamwambia wazi kabisa kuwa sihitaji mawasiliano na ww basi.
Au hata akikuganda sana ww mpe then akipiga msikilize nini anacho taka alafu mwambie kuwa anacho kitaka hakiwezekaniki.

Tabia ya kumpa namba mtu alafu akakupigia ukakataa kupokea ni dharau na ushamba na inamfanya mtu ajisikie vibaya.
 
mnatukatili wanaume ndio maana watu i
Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emo
Tunausemi wetu “atatafuta wa kumpokelea “
muwe mnakataa hapohapo huo nao ni ushamba tu! tatizo hamjui hata maana ya mawasiliano, kitendo cha kutoa namba tayari ni step mojawapo kukubali mawasiliano asa nn kisababishe usipokee basi tuwaache wenyewe muishi duniani kujamiiana ni muhimu kwa viumbe hai japo isiwe anasa tu
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.

Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Si usubiri ujibiwe au upigiwe?
Unakuwa unamtakia nini na haraka haraka hiyo!!!

Ila wengine eti wanapima na wengine wanapimisha na aliyenaye😅

Kwa wa Dada wengi unga muamala hata buku 20 sema ya maji.. usikilizie huku uki......

Vaa vizuri nenda BOT au benki zenye kuzungusha 💲 pozi kama unachekelea. rusha status andika "mkutano wa mameneja umeenda vizuri.. Kazi iendelee.." nunua cha kuvaa kwenye kola kishike mkononi iwe kama umeshika ID yako.

Kumbuka kuweka privacy aone mlengwa tu 😅😅
 
Tunatoga namba tu ila utapiga mwenyewe na utapokea
Mwenyewe

Kuna mazingira mtu unaona aibu kumnyima mtu namba ila tunawakomesha mkianza kututafuta..

Mimi natoa namba sana nakudanganya na jina ukipiga ukasema ni wewe ndio hutokaa uone napokea simu yako ama kujibu sms na sikublock utaacha wewe kunitafuta

Acheni kuombaomba namba yaani mtu amekuchekea kidogo ushaomba namba hii tabia inakera unajikuta kwa mwezi umegawa namba kwa watu wengi utazani unaomba kazi [emoji849]
Ndo maana ule wa Kanda pendwa alikuona hamnazo kwa akili zako hizi
 
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita vizuri tu. Meseji ndo kabisaa kama huzioni vile.

Sasa ulikua unatoa namba ya nini?
Save Namba then mwache ht ya bucket 3 uone matokeo
 
Back
Top Bottom