Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliomba kazi yanga ya kuwa afisa habari akanyimwa amekuwa na chuki na yanga mpk LeoJemedari Said anajiita voice of voiceless kumbe ni chawa wa simba tu.
Kasoma ?Aliomba kazi yanga ya kuwa afisa habari akanyimwa amekuwa na chuki na yanga mpk Leo
Wachambuzi ndio mamenejaBongo kwenye soka letu tumeshindwa kutofautisha, Mchambuzi na Mwandishi wa habari za michezo na vilevile tumeshindwa kutofautisha role ya meneja,mwanasheria na wakala wa mchezaji. Siku hizi watangazaji ndio maeneja na kuna baadhi ya wanasheria ndio mawakala, yaani kama kawaida yetu kivyetuvyetu na kwa style yetu.
Jana katema nyongo mnooo....fifa ni kibokoAliomba kazi yanga ya kuwa afisa habari akanyimwa amekuwa na chuki na yanga mpk Leo
Kawatolea povu FIFA? Duh kweli kavurugwaJana katema nyongo mnooo....fifa ni kiboko
Ana kwambia fifa wamekurupuka...Kwa nchi za Africa mfumo wa uwakala hautofanya kazi Bora waendelee na mameneja wakati wanatoa mafunzo na semina mbalimbali yaani mfumo wa uwakala uongie taratibu sio kufungua ghafla ...mamaaaaaeKawatolea povu FIFA? Duh kweli kavurugwa
Ana kwambia fifa wamekurupuka...Kwa nchi za Africa mfumo wa uwakala hautofanya kazi Bora waendelee na mameneja wakati wanatoa mafunzo na semina mbalimbali yaani mfumo wa uwakala uongie taratibu sio kufungua ghafla ...mamaaaaae
Siongezi kitu Mkuu nisije nikaambiwa Nina wivu naye.Ana kwambia fifa wamekurupuka...Kwa nchi za Africa mfumo wa uwakala hautofanya kazi Bora waendelee na mameneja wakati wanatoa mafunzo na semina mbalimbali yaani mfumo wa uwakala uongie taratibu sio kufungua ghafla ...mamaaaaae
Huyo jamaa ni kati ya binadamu wachache sana hapa duniani wenye vipara, halafu kichwani hamna kitu.Jemedari Said anajiita voice of voiceless kumbe ni chawa wa simba tu.
Sawa najua alikua mchezaji,je alipita pita shule walau kdg ?Alikuwa mchezaji
Edo Kumwembe anabaki kuwa Mchambuzi ninayemheshimu sana nchini. Yeye hufanya chambuzinzake ambazo zinabebwa na facts, humkuti kwenye migogoro na vilabu au wachezaji.Bongo kwenye soka letu tumeshindwa kutofautisha, Mchambuzi na Mwandishi wa habari za michezo na vilevile tumeshindwa kutofautisha role ya meneja,mwanasheria na wakala wa mchezaji. Siku hizi watangazaji ndio mameneja na kuna baadhi ya wanasheria ndio mawakala, yaani kama kawaida yetu kivyetuvyetu na kwa style yetu.
Football ya Tanzania imekuwa sana ghafla, uwekezaji kwenye mpira ni mkubwa sana kiasi Cha timu zetu kugombania wachezaji na mabenchi ya ufundi na timu kubwa Africa. Hii ni ishara na indicator kuwa Sasa lazima mpira wetu professionalism kwenye nyanja zote. Itakuwa aibu na kusababisha hasira kubwa kuona mambo kama:Ana kwambia fifa wamekurupuka...Kwa nchi za Africa mfumo wa uwakala hautofanya kazi Bora waendelee na mameneja wakati wanatoa mafunzo na semina mbalimbali yaani mfumo wa uwakala uongie taratibu sio kufungua ghafla ...mamaaaaae