Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshenzi mkubwa kabisa huyu jamaa mbwiga wa mbwiga Jemedari Said Kazumari umbwa kabisa.Jemedari Said anajiita voice of voiceless kumbe ni chawa wa simba tu.
Tz kafaulu mmoja tu, Jemedari atokee wapi?Watafute kazi walizokuwa na ujuzi nazo. Baada FIFA na TFF kutaka wachezaji wasimamiwe na mawakala (agent) badala ya meneja asiekuwa na weledi wa kusimamia wachezaji.
Hii imekata ngede kwa machawa wa wachezaji, watafute kazi nyingine.
Duuuuu.Mshenzi mkubwa kabisa huyu jamaa mbwiga wa mbwiga Jemedari Said Kazumari umbwa kabisa.
Sawa najua alikua mchezaji,je alipita pita shule walau kdg ?
Maana Fifa Agent kuna mitihani
weledi kwenye uchambuzi ulimpatia Ally Mayai Tembele kazi ya maana. Lakini haya mang'ungaembe kazi ipo!!!Edo Kumwembe anabaki kuwa Mchambuzi ninayemheshimu sana nchini. Yeye hufanya chambuzinzake ambazo zinabebwa na facts, humkuti kwenye migogoro na vilabu au wachezaji.
Upande wowote ule utakapigwa na uchambuzi wake huwa unaona suluhu pia isiyo na any bias
Kumwembe anafanya uchambuzi au anapiga story za mpira!?Edo Kumwembe anabaki kuwa Mchambuzi ninayemheshimu sana nchini. Yeye hufanya chambuzinzake ambazo zinabebwa na facts, humkuti kwenye migogoro na vilabu au wachezaji.
Upande wowote ule utakapigwa na uchambuzi wake huwa unaona suluhu pia isiyo na any bias
Hiyo mitihani kama ni kwa lugha ya Kingereza basi wala asijisumbuwe.Sawa najua alikua mchezaji,je alipita pita shule walau kdg ?
Maana Fifa Agent kuna mitihani
Hakuna kiswahili ktk mitihani ya fifaHiyo mitihani kama ni kwa lugha ya Kingereza basi wala asijisumbuwe.
Ali mayai kacheza mpira,kakaa darasani,huyo mwingine ni bogus tu km bogus wengineweledi kwenye uchambuzi ulimpatia Ally Mayai Tembele kazi ya maana. Lakini haya mang'ungaembe kazi ipo!!!
Form Four..Sawa najua alikua mchezaji,je alipita pita shule walau kdg ?
Maana Fifa Agent kuna mitihani
Alivyotoka Yanga Ally Mayai nilimuona anasema CBE Dar.Ali mayai kacheza mpira,kakaa darasani,huyo mwingine ni bogus tu km bogus wengine
Sasa form four si elimu ya kufuta ujinga ambayo sasa hivi ndio elimu ya msingi?Form Four..
Uliuliza swali kama kasoma.... nikakujibu Form Four...hayo mengine mie simo... 🙂Sasa form si elimu ya kufuta ujinga ambayo sasa hivi ndio elimu ya msingi?
Yes kasoma CBE na Aron Nyanda ambae ni Afisa Masoko pale TFFAlivyotoka Yanga Ally Mayai nilimuona anasema CBE Dar.
Nafasi ya Mkurugenzi wa michezo hawezi kupewa magumashi kama binti Kazumari.
Hivi viredio vyao vyenye frequency zinazoishia Kimara ndio Kijiwe cha wapumbavu kama huyo, hawezi kuajiliwa TBC huyo.
OkForm Four..
Huyu hapa!!!
Website ya TFF inaonesha Tanzania, Fifa agent wako 9+ ,na mdada salama jabir nae yupo, nadhani mitihani ya mwaka huu hao wengine wamefeli ila tff hawaweka taarifa mpyaTz kafaulu mmoja tu, Jemedari atokee wapi?
Yani ni bora Mbwiga wa Mbwiguke tunajuwa moja ni mshehereshaji tu kuliko hawa matutusa wanaojifanya wajuwaji.Yes kasoma CBE na Aron Nyanda ambae ni Afisa Masoko pale TFF
TBC haiwezi ajiri wazungumzaji, wale ni wazungumzaji na sio wachambuzi wala sio watangazaji, mfn Maestro std 7 ,Jemedari nae humo humo
YUKO mchambuzi mmoja anaitwa job ndugai sijui nani pale Wasafi, kila siku na kila mara lazima ajimwambafai na kusema "mimi wachezaji wangu" ninaowasimamia wana hiki na kile!!! hivi nae yumo kwenye shajala ya TFF ya mawakala?Yani ni bora Mbwiga wa Mbwiguke tunajuwa moja ni mshehereshaji tu kuliko hawa matutusa wanaojifanya wajuwaji.