Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mimi radio zenyewe huwa sisikilizi.YUKO mchambuzi mmoja anaitwa job ndugai sijui nani pale Wasafi, kila siku na kila mara lazima ajimwambafai na kusema "mimi wachezaji wangu" ninaowasimamia wana hiki na kile!!! hivi nae yumo kwenye shajala ya TFF ya mawakala?
hiyo namba 5 inamhusu Karia na likatibu lake Kidau!Football ya Tanzania imekuwa sana ghafla, uwekezaji kwenye mpira ni mkubwa sana kiasi Cha timu zetu kugombania wachezaji na mabenchi ya ufundi na timu kubwa Africa. Hii ni ishara na indicator kuwa Sasa lazima mpira wetu professionalism kwenye nyanja zote. Itakuwa aibu na kusababisha hasira kubwa kuona mambo kama:
1. Mchambuzi anakuwa wakala
2. Mchezaji anamrukia na kumuumiza kipumbavu mchezaji ghali wa timu ya taifa ya nchi fulani.
3. Refa anachezesha mechi kwa kupendelea timu fulani kwa sababu yoyote Ile. Tuwe na waamuzi hodari kabisa wanaochezesha kwa kufuata kanuni za mpira.
4. Kiongozi wa mpira/TFF anakuwa na mahaba na upendeleo na timu fulani kwa sababu zake.
5. Mdhamini wa hovyo asiyetimiza mkataba.
6. Wachambuzi wa mpira wasiokuwa na weledi, wanaokatisha tamaa wachezaji na wadhamini kipumbavu utadhani wanachangia uendeshaji wa timu.
7. Viwanja vya hovyo vinavyohatarisha afya za wachezaji ghali wanaotegemewa na timu za mataifa Yao.
8. Kuwa na kanuni za ligi na ratiba ya ligi ya hovyo inayopendelea timu fulani TU au unsporting.
9. Zawadi ndogo za mashindano na wadhamini zisizofanana na gharama halisi za uendeshaji wa timu.
Mbwiga ana akili kuliko hao,katika mambo ya sokaYani ni bora Mbwiga wa Mbwiguke tunajuwa moja ni mshehereshaji tu kuliko hawa matutusa wanaojifanya wajuwaji.
Mwaka huu kapita mmoja kwa mfumo mpya, mtihani mwingine Sept.Website ya TFF inaonesha Tanzania, Fifa agent wako 9+ ,na mdada salama jabir nae yupo, nadhani mitihani ya mwaka huu hao wengine wamefeli ila tff hawaweka taarifa mpya
HahahahaUliuliza swali kama kasoma.... nikakujibu Form Four...hayo mengine mie simo... 🙂
Ok,sawa ndio jamaa sio? Kuna tatizo kama walikua 9+ ,na sasa kabaki mmoja ,mmhMwaka huu kapita mmoja kwa mfumo mpya, mtihani mwingine Sept.
Vipara vingine husababishwa na kujaa chuki nyingi , maisha ni furaha.Huyo jamaa ni kati ya binadamu wachache sana hapa duniani wenye vipara, halafu kichwani hamna kitu.
Inabidi uwe unaijua mpira,kwa waliocheza kwa viwango vya juu wanakua na uelewa wa mpira,siyo kuangalia mpira kwa muda mrefu Kama akina Edo kumwembe,zamani alipokuwepo marehemu mziray,shafi dauda alikua haendi,maana ilikua akiongea mziray anamkosoaHivi IPO kozi ya uchambuzi wa mpira au ni janjajanja TU? Mbona salama ngare anaonekana anajua kuliko kazumari na jeflea? Kwenda hewani lazima kuwe na maadili yake.