Akina mama wakimasai wamwambia Samia asiwaondoe katika ardhi yao ya asili ya ngorongoro.

Akina mama wakimasai wamwambia Samia asiwaondoe katika ardhi yao ya asili ya ngorongoro.

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Huku wakibeba mabango ya kutuma ujumbe kwa rais Samia, akina mama wa kimasai wameishutumu serikali ya Samia ya kuwalazimisha kuondoka ngorongoro na kwenda huko Tanga.

Wakitumia kauli za uchungu wa mwanamke kwa mtoto wake. Mama mmoja wa Kimasai akasema yeye ni mzazi na ni mama kama Samia, kwa nini Samia anakuwa anawaganyia mambo haya kutumia maguvu kuwaondoa katika ardhi yao.

Mama huyo wa kimasai akaendelea kusema, watoto wao wamelazimika kukimbia makazi yao kwa sababu kuna majeshi yanatumwa huko kuwaaondoa kinguvu. Akasema wakati watoto wao wanalala maporini katika hatari, yeye Samia watoto wake wako wanaishi raha mustarehe.

Wamasai wakamalizia kwa kusema kuwa, hawataki kuondoka kama ni kufa kheri wafe katika ardhi yao lakini hawataki kwenda huko Tanga.

Unaweza kuwasikiliza hapa.

 
Tungewahamisha Wazanzibar wote wapishe, tuweke wawekezaji. Ingesomeka vipi?

Jambo kama lile kama kweli ni muhimu lingefanywa kwa miaka kadhaa kumi, ishirini Serikali ikishirikiana na jamii husika.

Sio kukurupuka.
 
Na wachimbaji wadogowadogo wakafukiwa na kifusi ili wafe. Leo maeneo yale yamebaki mashimo tu.

Magufuli aliita mikataba ile ya madini "shamba la bibi"
Magufuli hakujua chochote kuhusu uchumi na biashara,siyo rejea sahihi,alikwambia gharama za utafiti mpaka uchimbaji!?..kwa nini hakutoa pesa hazina na kuwekeza kwenye nchi kuchimba rasilimali zake ili tunufaike!?
 
Huku wakibeba mabango ya kutuma ujumbe kwa rais Samia, akina mama wa kimasai wameishutumu serikali ya Samia ya kuwalazimisha kuondoka ngorongoro na kwenda huko Tanga.

Wakitumia kauli za uchungu wa mwanamke kwa mtoto wake. Mama mmoja wa Kimasai akasema yeye ni mzazi na ni mama kama Samia, kwa nini Samia anakuwa anawaganyia mambo haya kutumia maguvu kuwaondoa katika ardhi yao.

Mama huyo wa kimasai akaendelea kusema, watoto wao wamelazimika kukimbia makazi yao kwa sababu kuna majeshi yanatumwa huko kuwaaondoa kinguvu. Akasema wakati watoto wao wanalala maporini katika hatari, yeye Samia watoto wake wako wanaishi raha mustarehe.

Wamasai wakamalizia kwa kusema kuwa, hawataki kuondoka kama ni kufa kheri wafe katika ardhi yao lakini hawataki kwenda huko Tanga.

Unaweza kuwasikiliza hapa.

View attachment 2729379
Wanasema wanataka kulinda mazingira wanamtoa Masai wanamweka mwekezaji😆😆
 
T
Magufuli hakujua chochote kuhusu uchumi na biashara,siyo rejea sahihi,alikwambia gharama za utafiti mpaka uchimbaji!?..kwa nini hakutoa pesa hazina na kuwekeza kwenye nchi kuchimba rasilimali zake ili tunufaike!?
Yule yeye alichokuwa anawaza ni kutawala milele tu
 
Unalindaje mazingira kuua wanyama kama mchezo, kusafirisha wanyama, kuwaondoa Wamasai, kujenga hotel, miundombinu kwenye hifadhi?

Ni opposite ya kulinda mazingira ni kuvuruga mazingira na eco system yake yote.
Kwa mujibu wa serikali ya awamu ya sita huu ni uhifadhi wa mazingira
 
Ni wakati wa Wamasai kurudi mjini waachane kukaa porini na wanyama
 
Bhulyanhulu watu waliondolewa miaka ya tisini kupisha mwekezaji achimbe dhahabu,wamasai siyo special..watoke huko
Bulyanhulu nilikuwepo,mkapa alikuja na kusema,nataka wabakie ndege tu hapa,hakika watu walikufa sana,baadhi ya watu walifukiwa kwenye mashimo kwa wale walijifanya kichwa ngumu
 
Maigizo tu hayo.
Mtu mwenye akili anang'anganiaje kukaa porini kusipo na huduma zozote anaacha kukaa kwenye nyumba na sehemu yenye huduma zote?

Hawa ni wajinga tu na watahama tu. Walihamishwa kimara sembuse hawa? Hawa kina nani tena kimara tulihama bila fidia yeyote?
 
Bhulyanhulu watu waliondolewa miaka ya tisini kupisha mwekezaji achimbe dhahabu,wamasai siyo special..watoke huko
wee Matacle hao wananchi wapo sahihi hao matapeli wa Bhulyanhulu wanachimba dhahabu na kuisafirisha nje huko wananchi wakiwa maskini wa kutupwa,
khenge wakubwa wewe na Chama Cha Majangiri kwa kuhujumu wananchi siku yaja mtalipwa
kwa maovu!
 
Back
Top Bottom