Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mmepata nini huko Bulyang'ulu? Unaongea kama umekatwa kichwa!!?Bhulyanhulu watu waliondolewa miaka ya tisini kupisha mwekezaji achimbe dhahabu,wamasai siyo special..watoke huko
Maza kwa kweli ameshindwa mambo mengi snHuku wakibeba mabango ya kutuma ujumbe kwa rais Samia, akina mama wa kimasai wameishutumu serikali ya Samia ya kuwalazimisha kuondoka ngorongoro na kwenda huko Tanga.
Wakitumia kauli za uchungu wa mwanamke kwa mtoto wake. Mama mmoja wa Kimasai akasema yeye ni mzazi na ni mama kama Samia, kwa nini Samia anakuwa anawaganyia mambo haya kutumia maguvu kuwaondoa katika ardhi yao.
Mama huyo wa kimasai akaendelea kusema, watoto wao wamelazimika kukimbia makazi yao kwa sababu kuna majeshi yanatumwa huko kuwaaondoa kinguvu. Akasema wakati watoto wao wanalala maporini katika hatari, yeye Samia watoto wake wako wanaishi raha mustarehe.
Wamasai wakamalizia kwa kusema kuwa, hawataki kuondoka kama ni kufa kheri wafe katika ardhi yao lakini hawataki kwenda huko Tanga.
Unaweza kuwasikiliza hapa.
View attachment 2729379
Naunga mkono hojaUtawala wa Samia umegeuka laana tupu kwa watanganyika, ni vilio kila kona huku yeye akiendelea kusema amechagua kunyamaza, hili sijui ni balaa gani tumepewa na Katiba.
Kwani wamekwambia wanataka kumiliki ardhi? wao wanataka kuishi basiMambo mengine tuwe serious kweli na tuwe na maono ya kuona mbali.Wamasai wa ngorongoro ni haki yao kukaa pale sbb ilikuwa maeneo yao ya asili lakini kwa upande wapili serikali ipo halali kuwahamisha sababu ya mabadiliko ya tabia ya nchi na uharibifu wa mazingira.MASAI alikuwa na ngombe wachache na wao walikuwa wachache leo wanamifugo wengi wamejaza hifadhi wao wenyewe kuliko wanyama nao wao pia wamekuwa wengi.je tuhifadhi wanyama hao mifugo ya wamasai?masai walikuwa hali nyama ya porin leo masai anashndana na simba kula wanyama wa pori.wamasai wanapaswa kuhama ili amilike eneo kuliko kwnye hifadh ambapo haruhusiwi kumilik wa kujenga nyumba.kwa manufaa ya nch wamasai wanatakiwa kuhama.
Sidhani kama upo Sawa kichwani.Bhulyanhulu watu waliondolewa miaka ya tisini kupisha mwekezaji achimbe dhahabu,wamasai siyo special..watoke huko
Wewe ni mjinga ila hujui ni hasara kwako na familia yakoMaigizo tu hayo.
Mtu mwenye akili anang'anganiaje kukaa poring kusipo na huduma zozote anaacha kukaa kwenye nyumba na sehemu yenye huduma zote?
Hawa ni wajinga tu na watahama tu. Walihamishwa kimara sembuse hawa? Hawa kina nani tena kimara tulihama bila fidia yeyote?
Wewe ndo mjinga. Suala la watu kuhama Tanzania limeanza leo? Unajua watu walihamishiwaga kwenda vijiji vya ujamaa miaka ya 1967 - 1974?Wewe ni mjinga ila hujui ni hasara kwako na familia yako
Ni tofauti kabisa, usitake kupindisha na kudanya watu hapa.Nimekumbuka sekeseke la kupanga watu kwenye vijiji vya ujamaa enzi za Nyerere!
Huna hata akili ya kujua kuwa unalinganisha mambo yasiyofanana kabisa kutaka kudanganya watu?Wewe ndo mjinga. Suala la watu kuhama Tanzania limeanza leo? Unajua watu walihamishiwaga kwenda vijiji vya ujamaa miaka ya 1967 - 1974?
Wao kina nani wasihame?
Yasiyofanana kivipi?Huna hata akili ya kujua kuwa unalinganisha mambo yasiyofanana kabisa kutaka kudanganya watu?
Wanatumiwa kisiasa tu, tulisoma {rimary School kuwa hao hawana asili ya popote Tanzania, ni wahama hamaji.Huku wakibeba mabango ya kutuma ujumbe kwa rais Samia, akina mama wa kimasai wameishutumu serikali ya Samia ya kuwalazimisha kuondoka ngorongoro na kwenda huko Tanga.
Wakitumia kauli za uchungu wa mwanamke kwa mtoto wake. Mama mmoja wa Kimasai akasema yeye ni mzazi na ni mama kama Samia, kwa nini Samia anakuwa anawaganyia mambo haya kutumia maguvu kuwaondoa katika ardhi yao.
Mama huyo wa kimasai akaendelea kusema, watoto wao wamelazimika kukimbia makazi yao kwa sababu kuna majeshi yanatumwa huko kuwaaondoa kinguvu. Akasema wakati watoto wao wanalala maporini katika hatari, yeye Samia watoto wake wako wanaishi raha mustarehe.
Wamasai wakamalizia kwa kusema kuwa, hawataki kuondoka kama ni kufa kheri wafe katika ardhi yao lakini hawataki kwenda huko Tanga.
Unaweza kuwasikiliza hapa.
View attachment 2729379
Tena kwa nguvu, ukitaka usitake na hajashauriwa wala kuulizwa mtu. Wengi walikufa kwa maradhi, kwa kuliwa na Simba, kwa kugongwa na nyoka, na wengine waliliwa mpaka na chatu.Wewe ndo mjinga. Suala la watu kuhama Tanzania limeanza leo? Unajua watu walihamishiwaga kwenda vijiji vya ujamaa miaka ya 1967 - 1974?
Wao kina nani wasihame?
Wewe huoni tofauti kati yake?Yasiyofanana kivipi?
Hawa wanaharakati uchwara na watoto wa juzi wana shida sanaTena kwa nguvu, ukitaka usitake na hajashauriwa wala kuulizwa mtu. Wengi walikufa kwa maradhi, kwa kuliwa na Simba, kwa kugongwa na nyoka, na wengine waliliwa mpaka na chatu.
Hao wanahamishwa Kistaarabu na nyumba wanajengewa, leo wanasiasa wajinga wajinga wanawatumia kisiasa.