wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
tupambanie mazeeKkwaiyo Jf mashangazi yake yana hela , tupambanie makombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupambanie mazeeKkwaiyo Jf mashangazi yake yana hela , tupambanie makombe
ndio,sema huyo mwembamba angekuwa mnene angeitwa LISHANGAZIKumbe ukiwa na Hela halafu unmarried unakuwa shangazi,duh
Sema wanakuwaga na mkuu mmoja ndani mguu mwingine nje,Yaani ukimzingua tu kdgo huyoo kafungasha karudi kwa baba fulani😂Hongera zake, na kila lakheri kwenye maisha ya ndoa, single mom nao wana moyo, wanahitaji kupendwa na kupenda pia.
HahahahahaaLakin ni single mom
True brotherKila mtu na riziki yake
Imagine alikuja juu na kuipinga hiyo list na kusema Ni ghushi eti😂Kuna list niliona juzi ya wasanii mabilionea A. Mashariki, Akothee yumo
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Wanawake Msijichanganye Mkafuata Nyayo Zake
Nimekumiss dada yanguTrue brother
Sasa ukimzingua akuache tu?😀Sema wanakuwaga na mkuu mmoja ndani mguu mwingine nje,Yaani ukimzingua tu kdgo huyoo kafungasha karudi kwa baba fulani😂
Thamani yake inakuja tu km watoto hao alizaa ndani ya ndoa kinyume Cha hpo ni ........Single mother ni neno linalotumika kumfanya mwanamke kuwa weak.. ila mwanamke alie jifungaa ( kuzaa na kulea ), anathamani kubwa kuliko ambae hajazaa
[emoji28]Haya haya mama mwenye watozo watano leo kaolewa huko Kenya
View attachment 2583482
Ujumbe huu uwafikie kataa ndoa na wanaosema kila kukicha single mamaa mpooo
[emoji23][emoji23][emoji23]kaingia kwenye mapambano ACHA aenjoy kumkubatia huyo singo mama hata amini.Huyo jamaa atajuta kuzaliwa[emoji23] tulia uone shoo yake[emoji23]