Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
-
- #201
Atia❌alisababisha mauaji ya watu wasio na atia hata yeye yuko anapambana na adhabu ya kablini moto kwenda mbele
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umewaona hao wamakunduchi hali waliyonayo hivi sasa baada ya hayo mavamizi ? au unaropokwa tuAli Mwinyi Tambwe kapewa nishani ya mapinduzi baada ye kufa kwake.
Kwako Mzee Mohamed Said, Je Okello atapewa nishani yake lini ya kutangaza mapiduzi.
Okello ni baba wa mapinduzi Zanzibar hizo nyingine ni mbwembwe tu za wanasisa. Likini ukweli ni kuwa huyu Mgalatia amewaheshimisha wamakunduchi.
Mzee acha hoja za kitoto,kwahiyo kama walikutana kwenye ndege ulitaka waanze kufyatuliana masase ama kupigana?mbona hii story yako ya kubumba inakosa mashiko.
Okello ni field marshal hata wikipedia imeandiika hivyo.
Unaweza tuelezea kuhusu ile picha ya karume akimshika mkono juu Okello ilimaanisha nini kwanini amshike mkono juu okello?
Hivi kumbe Maalim inaweza kutumika kwa mwenye jina la kike/mwanamke kama Faiza? Nimekuwa nikisikia tu ikitumiwa kwa wanaume.Mnachihangu,
Mtake radhi Maalim Faiza.
Hivi haya majina ya baadhi ya sehemu huko Zanzibar kama Makunduchi, Mchambawima, nk. asili yake ni nini?Ali Mwinyi Tambwe kapewa nishani ya mapinduzi baada ye kufa kwake.
Kwako Mzee Mohamed Said, Je Okello atapewa nishani yake lini ya kutangaza mapiduzi.
Okello ni baba wa mapinduzi Zanzibar hizo nyingine ni mbwembwe tu za wanasisa. Likini ukweli ni kuwa huyu Mgalatia amewaheshimisha wamakunduchi.
James...Hivi kumbe Maalim inaweza kutumika kwa mwenye jina la kike/mwanamke kama Faiza? Nimekuwa nikisikia tu ikitumiwa kwa wanaume.
NB: Siijui jinsia ya FaizaFoxy, nimeuliza tu kuongeza ufahamu.
Hata jiwe angavu unaweza kujiita field marshal ndio utakuwa kweli ni field marshal . Hiyo wikipedia si kuna mtu amewaandikia au wikipedia ni msahafu huwezi kubadilisha kitu ??
Field marshal afukuzwe kama kuku kweli huyo ni Field marshal 😛😛
Hoja ya kitoto kabisa,hivi una umri gani kwanza ?
Heeeehh.... Mbona unachoandika hakieleweki?Hulaumiki kwani wewe ni chizi kama unavyojiita
Anafukuzwa tu. Alifukuzwa Idd Amin na alikuwa na Jeshi. Atakuwa huyu John mgeniHata jiwe angavu unaweza kujiita field marshal ndio utakuwa kweli ni field marshal . Hiyo wikipedia si kuna mtu amewaandikia au wikipedia ni msahafu huwezi kubadilisha kitu ??
Field marshal afukuzwe kama kuku kweli huyo ni Field marshal 😛😛
Iddi Amin hakufukuzwa Kama chizi mwenzako Okello aliyejiita Field MarshallAnafukuzwa tu. Alifukuzwa Idd Amin na alikuwa na Jeshi. Atakuwa huyu John mgeni
Upo sahihi sheikh. Nakubaliana nawe. Akumbukwe Baba wa Taifa la Zanzibar John Okello. Mkombozi wa WazanzibarChizi ni vigumu kufahamu 😝😝😝
Upo sahihi sheikh. Nakubaliana nawe. Akumbukwe Baba wa Taifa la Zanzibar John Okello. Mkombozi wa WazanzibarIddi Amin hakufukuzwa Kama chizi mwenzako Okello aliyejiita Field Marshall
Upo sahihi sheikh. Nakubaliana nawe. Akumbukwe Baba wa Taifa la Zanzibar John Okello. Mkombozi wa WazanzibarIddi Amin hakufukuzwa Kama chizi mwenzako Okello aliyejiita Field Marshall
Ni machizi tu ndiwo wa kumkumbuka chizi mwenzao 😝😝😝😝Upo sahihi sheikh. Nakubaliana nawe. Akumbukwe Baba wa Taifa la Zanzibar John Okello. Mkombozi wa Wazanzibar
Ndiwo ❌Ni machizi tu ndiwo wa kumkumbuka chizi mwenzao 😝😝😝😝
Atakumbukwa na machizi wenzake baba wa machiziUpo sahihi sheikh. Nakubaliana nawe. Akumbukwe Baba wa Taifa la Zanzibar John Okello. Mkombozi wa Wazanzibar
Wahenga walisema "tenda wema nenda zako" bila Okello leo Zanzibar ingekuwa wapi?Ni machizi tu ndiwo wa kumkumbuka chizi mwenzao 😝😝😝😝
Upo sahihi sheikh. Nakubaliana nawe. Akumbukwe Baba wa Taifa la Zanzibar John Okello. Mkombozi wa Wazanzibar.Atakumbukwa na machizi wenzake baba wa machizi