Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Mugalu mimi kwangu ndio best pale Simba kwasasaNasema tena nani kama mugaluuu?
Hakuuuuunaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mugalu mimi kwangu ndio best pale Simba kwasasaNasema tena nani kama mugaluuu?
Hakuuuuunaaaa
Mkude na nyoni ndio wametugharimu leo.. sijaona mpira waliocheza ahly.. dakika 15 za mwisho ndo simba yetu...Pengo La Mugalu Ni Dhahiri, nimeamini kazi yetu sie mashabiki ni kushangilia.... Kujifanya tunajua Eti awekwe Kagere mbele.....Yaani Pale mbele Pamepwelepeta mno...!
Dua kubwa ya muarabu saizi ni kuomba kutokutana na simba roboKachafua gazeti mwarabu
Chama abadilike afanye maamuzi haraka,mkude na nyoni ndo wametugharimu leo.. sijaona mpira waliocheza ahly.. dakika 15 za mwisho ndo simba yetu...
Acha uongo ni Mamelods .........Hivi mnajua kama Simba ndio kinara wa groups zoteee?
Robo hawawezi kukutana, labda tuzungumzie Nusu fainali. Ila kwa hii Ahly, ikipangwa na Masandawana afu wakaanzia Cairo, inatoka mapema tu.Dua kubwa ya muarabu saizi ni kuomba kutokutana na simba robo
Hivi Utaratibu wa robo fainali ni kuchezeshwa droo au wa kwanza kwenye grup anakipiga na wa pili grup linalofuata?Hivi mnajua kama Simba ndio kinara wa groups zoteee?
Leo kapigwa mbili kavu ujue, afu points tunalingana.Acha uongo ni Mamelods .........
Weye acha hzoo na MAMELODI JEE..??Hivi mnajua kama Simba ndio kinara wa groups zoteee?
Sio khamsa tena?[emoji23] Kwa huu mpira uliopigwa, sidhani kama kuna shabiki yoyote wa Simba alieumia.Jaribu kuwaza kama hii ndo ingekuwa Nusu fainali, afu ndo tumeanza kwao kama hivyo yaani hapo fainali ilikuwa ni uhakika kabisa[emoji23].Wamepigwa kimoja cha asubuhi walah
Simba iko juu ina goal difference nzuri so far kuliko timu yoyoteWeye acha hzoo na MAMELODI JEE..??
Hivi mnajua CAG angefanya ukaguzi jangwani angebaini yanga ni sawa na ATCL zimekuwa zikiendeshwa kwa hasara?Hivi mnajua kama Simba ndio kinara wa groups zoteee?
Kwanza mazingira ya kigoli chenyewe ni zali tu, upepo tu uliwapitia hakuna skills paleKama mamelodi kapigwa mbili kavu nyumbani sisi ni nani mpaka tupigwe kamoja tu na wale mafarao na tupo ugenini ...
hebu tujipige pige kifua na kusema sisi ni washindi.
Simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].Leo hata wale vibwengo wa utopolo, wanaona aibu kuja kuunyea huu uzi[emoji3].Kama mamelodi kapigwa mbili kavu nyumbani sisi ni nani mpaka tupigwe kamoja tu na wale mafarao na tupo ugenini ...
hebu tujipige pige kifua na kusema sisi ni washindi.
Hao waliompiga mamelod home ndio tunakutana nao? Au kuna draw itachezeshwa?Kama mamelodi kapigwa mbili kavu nyumbani sisi ni nani mpaka tupigwe kamoja tu na wale mafarao na tupo ugenini ...
hebu tujipige pige kifua na kusema sisi ni washindi.
Wasilete uhuni🤣🤣🤣🤣Hawa CAF bilion 2 zetu wanatupa lini?