Haya Mkuu Mwarabu nimekupata.
Yaani wewe unalazimisha kila mtu awe upande unaoshabikia wewe akiwa tofauti na wewe basi ana chuki dhidi ya waarabu. Wewe una mahaba na waarabu yaliyopitilizaAcha chuki dhidi ya waarabu,watu weusi cjui huwa 2namatatizo gani. Vita co wa hapa kwetu lakini utawashabikia kwakuwa wanacheza na waarabu. Acheni chuki ndugu zangu
Al ahali 2 0 wanyampala
God bless al ahali
Hamna timu ya kumtisha Simba.Labda zitokee figisu za waamuzi.Simba atawanyanyasa sn wote hawaUwezo wao vip ukilinganisha na mnyama
Daki 90 zimeongezwa 3 Mwarabu 3-0 Vital
Usichokijua ni kuwa mi ni mnyama lia lia....nilikuwa taifa tangu mchana so sikupata muda wa kupost.
Aliechukua back to back n Tp Mazembe sio hawa, hawana ubavu huo, wameingia final msimu jana wakapoteza , hawakuwah ingia final kabla ya hapo miaka ya karibun..Kumbuka Vital amechukua kombe la shirikisho mara mfululizo na waarabu kibao wakiwemo....
we kiaz kweli, anaposema anataman mechi kuisha sure haihusiana na rangi ya ngozi ya mtu, Anacholenga yeye ni simba ipate mazingira mazuri mapemaa... Wangetoka suluhu inamaana wangegawana point.. wangekua nyuma ya simba point mbili wote wawilAcha chuki dhidi ya waarabu,watu weusi cjui huwa 2namatatizo gani. Vita co wa hapa kwetu lakini utawashabikia kwakuwa wanacheza na waarabu. Acheni chuki ndugu zangu
Al ahali 2 0 wanyampala
God bless al ahali
Hawa wanaocheza saizi karibia wote ni wepesi na wana kasi japo mwarabu anakasi Zaidi...
Simba kuchomoza katikati ya hawa wawili afanye kazi ya ziada, maana hawa wote wanampira wa kasi sana.
Mkuu hakuna utata kwa faulo ile alistahili second yellow. Hao wote tunaweza kukabiliana nao bila shida. Na ni bora vita amefungwa maana huyo ndio direct opponent wetu kwa nafasi ya kufuzu.Ile kadi ya utata sana waarabu wakiwa kwa fitna...hata kurudia lile tukio waonyeshe kama ni mtu wa mwisho wanashindwa upande wa kulia kulikuwa na beki mwingine,africa tunahitaji VAR kwenye haya mashindano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huta amini utachokiona hapo wakuogopwa ni AS Vita tu, kwa Simba ukifunguka unaliwa kifupi Nkana walikuwa ni mlima mrefu sana kwa Simba usipuze Simba yenye international players wa nne wanaotegemewa kwenye timu za taifa Kagere, Okwi, Juko na Chama akina Kwasi, Kotei na Wawa wao hawana namba kwa kuwa wanaojua ni wengi. Alichokifanya jana Okwi na Kagere ndio utaelewa maana ya international players nyie mnawadharua wapinzani wa Simba badala ya kuwapongeza Simba kwa ushindi.Hawa wanaocheza saizi karibia wote ni wepesi na wana kasi japo mwarabu anakasi Zaidi...
Simba kuchomoza katikati ya hawa wawili afanye kazi ya ziada, maana hawa wote wanampira wa kasi sana.
Kwani hapa tz mabeki tatu hawateswi?Kwani toka lini waarabu wakawapenda wamatumbi, dada zenu si wananing'inizwa huku uarabuni kila siku maghorofani .....
Halafu usinitoe kwenye mstari