Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kweli.Hamna timu ya kumtisha Simba.Labda zitokee figisu za waamuzi.Simba atawanyanyasa sn wote hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo walivyo hao.Mkuu huta amini utachokiona hapo wakuogopwa ni AS Vita tu, kwa Simba ukifunguka unaliwa kifupi Nkana walikuwa ni mlima mrefu sana kwa Simba usipuze Simba yenye international players wa nne wanaotegemewa kwenye timu za taifa Kagere, Okwi, Juko na Chama akina Kwasi, Kotei na Wawa wao hawana namba kwa kuwa wanaojua ni wengi. Alichokifanya jana Okwi na Kagere ndio utaelewa maana ya international players nyie mnawadharua wapinzani wa Simba badala ya kuwapongeza Simba kwa ushindi.
AiseeeeHao ndio watakaopita.......sio hawa kina SUMBULA waliocheza leo hapa kwa wazaramo... mwarabu anafungwa tatu????.. mwarabuuuuu au towashi huyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka umeona jibu...... kifupi nilitaka watu waone jinsi mwarabu anavyobebwa tu akiwa kwao na si uwezo,
hili mmeliona bila shaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi wewe mbulula??Mmeona kuwa nyie ni underdog baada ya game ya leo?
Jana muamuzi kamlinda tu ilikua atugharimu,Shida ya juko hana nidhamu ya ukabaji na anakosa timing nzuri ya kumvaa opponentKwa kubebwa kule,kocha wa Simba asije akampanga Murshid, yaani mapema tu nyekundu itamuhusu...Sina shaka na Simba iko vzr.
Nyie Mikia mtakimhbia tu humu, endeleeni kujifarijiKivipi wewe mbulula??
Kwa Simba hii hata mngeunganisha timu zoooote za makundi yote Vs Simba tutawakalisha!
Usiicheze na Simba utatafunwa shauri yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Warabu fitina sana, hata ile penati wamepewa yule mchezaji kajiangushaIle kadi ya utata sana waarabu wakiwa kwa fitna...hata kurudia lile tukio waonyeshe kama ni mtu wa mwisho wanashindwa upande wa kulia kulikuwa na beki mwingine,africa tunahitaji VAR kwenye haya mashindano
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo juuko ni no 5 na wawa no 5 , juuko anavilafu vya ajabu kwenye 18, kwa nilivyomuona yule refa wa al ahly na vita mbali ya kadi hata penati anatenga, Kumbe bora Elasto.Jana muamuzi kamlinda tu ilikua atugharimu,Shida ya juko hana nidhamu ya ukabaji na anakosa timing nzuri ya kumvaa opponent
Nahakika kama hatorekebisha aina ya ukabaji wake kwa mechi za ugenini atakula nyekundu na kuigharimu timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kweli kabisa kama si busara za refa jana, angetuletea balaa, yaani hadi Mkude alikuwa akimuelekeza, huyu naomba kabisa asicheze kwenye mechi za Waarabu ugenini kama hatarekebishwa, ataleta majanga na kuingusha timu ambayo iko vzr sana.Jana muamuzi kamlinda tu ilikua atugharimu,Shida ya juko hana nidhamu ya ukabaji na anakosa timing nzuri ya kumvaa opponent
Nahakika kama hatorekebisha aina ya ukabaji wake kwa mechi za ugenini atakula nyekundu na kuigharimu timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sare labda ya kicheni partyIla uzuri Kwamba wakifungwa mechi hi Congo tukienda kutafuta sare nafasi kupita kwetu inakua kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Warabu fitina sana, hata ile penati wamepewa yule mchezaji kajiangusha
Nyie Mikia mtakimhbia tu humu, endeleeni kujifariji
Tunaitafuta hata hiyo....Ila points Kwa mchina zipo pale pale tunahitaji point moja tu ugenini
Huyo jamaa mzoee tu. Kama sio mwarabu basi house boy wa mwarabu. We chochote utachosema kuhusu mwarabu anakuita mbaguzi. Sasa fikiria mtu anaomba game iishe sare ye anaita ubaguzi. Hopeless.we kiaz kweli, anaposema anataman mechi kuisha sure haihusiana na rangi ya ngozi ya mtu, Anacholenga yeye ni simba ipate mazingira mazuri mapemaa... Wangetoka suluhu inamaana wangegawana point.. wangekua nyuma ya simba point mbili wote wawil
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda amfunge kamba.
Juuko kweli ata-cost timu one day. Hajapata tu mpinzani aliemsoma vizuri akamuelewa. Penalties zote zingekua zinapitia kwake, na pengine hata Red Cards.Tatizo juuko ni no 5 na wawa no 5 , juuko anavilafu vya ajabu kwenye 18, kwa nilivyomuona yule refa wa al ahly na vita mbali ya kadi hata penati anatenga, Kumbe bora Elasto.