Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

*Nahisi tufanye mazoezi ya kuhesabu kiarabu mapema...* [emoji12][emoji12][emoji12]
Moja - wahed
Mbili - Ithnan
Tatu - Thalatha
Nne - Arba
Tano - Khamsa
Sita - Sitta
Saba - Sabah
Nane - Thamaniya
Tisa - Tissah
Kumi - Asharah

Haya ndio maoni yangu

Mtashangaa waarabu wanakalia 1-0 kesho hiyo
 
HATA UBADILI KUNI VIPI, MOTO NI ULE ULE!!! Kila la heri NATIONAL AL AHLY kwenye mechi dhidi ya underdogs!
Under dogs baada ya ku qualify hii hatua kuchukua zake 1.5 billion...gongowazi ambae sio underdog mayeye nasikia ka qualify hatua ya magroup whatsapp sijui kapewa shilingi ngapi😂😂😂....yaani ukiwa shabiki wa gongowazi lazima upate tabu sana..unamwita underdog timu aliyequalify hatua ambayo unamiaka 20 hujawahi qualify unaisikia tu kwenye radio
 
Under dogs baada ya ku qualify hii hatua kuchukua zake 1.5 billion...gongowazi ambae sio underdog mayeye nasikia ka qualify hatua ya magroup whatsapp sijui kapewa shilingi ngapi😂😂😂....yaani ukiwa shabiki wa gongowazi lazima upate tabu sana..unamwita underdog timu aliyequalify hatua ambayo unamiaka 20 hujawahi qualify unaisikia tu kwenye radio
muda utasema na 1.5B yenu
 
kama vita ilimchapa mkia matano, basi al ahly itampiga hata kumi, tuwaombee mikia wapunguze mvua ya magoli tu maana hamna namna!
 
muda utasema na 1.5B yenu
Tumeshapata 1.5billion hatuna cha kupoteza...hata tukifungwa tano nini cha ajabu..wanafungwa hizo wakina barcelona akifungwa simba nini cha ajabu...shabiki la Gongowazi ukiliuliza linafurahia nini simba kufungwa tano wakati kashakula pesa ya kutosha linabaki linakushangaa tu wakati timu yake imegeuka ombaomba
 
Mavyura hawaishi majungu. Na kwa nini mnateseka? Vyura bana, kila siku makelele[/QUOTE]
 
Kwanza kabisa kudhiti pressure dk 20 za mwanzo.
Wahakikishe kwenye kumi na nane wasikubali kucheza faulo
Wakipata kona wazitumie waarabu kona wavivu
Kikiisha kipindi cha kwanza bila bila
Cha pili wazuie kwa kupiga counter attack
kagere na okwi waanze mbele...bocco aanzie benchi
chama awekwe ktk asichezw pembeni
manula asiteme mipira ovyo ovyo
pressure ya mashabiki na mafataki wasiwaze wala kuwapa presha
wakimbie sana siku ya leo
kila mchezaj ale glucose...kuongeza nguvu

SIMBA MOJA.....harafu wakija taifa wageni wote mechi ipigwe saa tisa mchana kwa jua hili lazima tuwachape...msiwachezeji jioni saa moja jua limezama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom