Al Ahly ya sasa imeshuka sana ubora, si ajabu hata USM Algier walijipigia. Yanga tunaenda kumchapa kwa Mkapa na kwake

Al Ahly ya sasa imeshuka sana ubora, si ajabu hata USM Algier walijipigia. Yanga tunaenda kumchapa kwa Mkapa na kwake

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
 
Si tupo hapa? Tuombe tu uzima.

Mtapokea Mkong'oto si wa nchi hii.

Hizi takataka zimeanza baada ya Mnyama kulazimisha sare, kwa Mkpa na huko Cairo.
Kuna tatizo ndani ya timu upande wa strikers na ni la kimaslahi... Nafasi kama 40 leo lakini goli 1 tu tena la kusawazisha... Strikers wanaweza lakini kuna tatizo ndani yao
 
Ahly hajashuka kama mnavyo lazimisha , ila ubora wa vilabu vyetu umepanda sana, hata Yanga akija kumfunga al ahly , sio kwaababu Ahly wabovu , sababu Yanga pia ni bora na ina quality ,

Tanzania kama tutashikiria hapa tulipo shika basi kuna pacha wa kariakoo ataleta kombe nyumbani.
 
Ahly hajashuka kama mnavyo lazimisha , ila ubora wa vilabu vyetu umepanda sana , hata Yanga akija kumfunga al ahly , sio kwaababu Ahly wabovu , sababu Yanga pia ni bora na ina quality ,

Tanzania kama tutashikiria hapa tulipo shika basi kuna pacha wa kariakoo ataleta kombe nyumbani.
Mmeshaanza kumshusha viwango Al Ahyl

Aahaaa
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Hakuna shaka Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna msemo husema "kikulacho ki nguoni mwako", Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Si ajabu hata usm alger alimtandika Al Ahly kwa kutumia huu uchochoro, Al Ahly angeweza kumchapa Usm Algier ila strikers hawakutaka

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
.
JamiiForums592774928.jpg
 
Ahly hajashuka kama mnavyo lazimisha , ila ubora wa vilabu vyetu umepanda sana , hata Yanga akija kumfunga al ahly , sio kwaababu Ahly wabovu , sababu Yanga pia ni bora na ina quality ,

Tanzania kama tutashikiria hapa tulipo shika basi kuna pacha wa kariakoo ataleta kombe nyumbani.
Inawezekana ndio, ila ukiangalia nafasi za wazi walizokosa, unapata wazo lingine.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
Kama imeshuka sana basi Utopolo mkajigie Cairo, usiandikie mkojo na uduvi ungalipo
 
Yanga hata wakipata sale kwa ALHLY inabidi nichome MBUZI.

Iwe kwa Mkapa ama Cairo nitachoma mbuzi
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
Kama imeshuka sana basi Utopolo mkajipigie Cairo, usiandikie mkojo na uduvi ungalipo
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
.
JamiiForums592774928.jpg
 
Back
Top Bottom