Al Ahly ya sasa imeshuka sana ubora, si ajabu hata USM Algier walijipigia. Yanga tunaenda kumchapa kwa Mkapa na kwake

Al Ahly ya sasa imeshuka sana ubora, si ajabu hata USM Algier walijipigia. Yanga tunaenda kumchapa kwa Mkapa na kwake

Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
Acha ushabiki maandazi kukosa nafasi ni kawaida kwenye mpira simba pia wamekosa nyingi tu kwenye mechi ya champions league kati ya Manchester city na inter Milan siku ile mpaka Guardiola hakuamini kilichotokea maana inter Milan walikosa nafasi nyingi tena za wazi mpaka Guardiola akasema nimeshinda final kwasababu inter wamekosa magoli mengi wale al ahly sio wabovu kama unavyofikiria ila hata wao wanaiheshimu simba ndio maana walikuwa wanacheza kwa nidhamu kama ni team mbovu ngoja siku waje kucheza na yanga.
 
Waarabu gani hao unaowazungumzia, uliowapiga kwao?

Naamini unamaanisha Waydad, Raja, Ahly, Pyramid, Zamalek, Esperance, Belouzidad.

Nje ya hapo sidhani kama una haki ya kujiona bingwa dhidi ya waarabu, kwasababu haujakutana Big fishes ikilinganishwa na Simba Sc.
Big fish in a small pond washenzi kuwapiga waarabu ni ndani ya nchi tu na hadi mfanye figisu ndo maana safari hii al ahly akaja na kila kitu chake maana wanawajua mambo yenu,,,,,,,, nyie mafanikio yenu ni robo tu na msimu huu kimataifa ni mwendo wa droo kama mlivyoanza ngao ya jamii,,,, wataalam wenu hawawezi tena ku update database pua mkia
 
Acha ushabiki maandazi kukosa nafasi ni kawaida kwenye mpira simba pia wamekosa nyingi tu kwenye mechi ya champions league kati ya Manchester city na inter Milan siku ile mpaka Guardiola hakuamini kilichotokea maana inter Milan walikosa nafasi nyingi tena za wazi mpaka Guardiola akasema nimeshinda final kwasababu inter wamekosa magoli mengi wale al ahly sio wabovu kama unavyofikiria ila hata wao wanaiheshimu simba ndio maana walikuwa wanacheza kwa nidhamu kama ni team mbovu ngoja siku waje kucheza na yanga.
Hakuna mwarabu anatutisha kwa sasa wote hao wala urojo tu kwetu
 
Gazeti hujatupia hapa we kenge?. Matusi Yale 100 hujatupia au bado?
 
Big fish in a small pond washenzi kuwapiga waarabu ni ndani ya nchi tu na hadi mfanye figisu ndo maana safari hii al ahly akaja na kila kitu chake maana wanawajua mambo yenu,,,,,,,, nyie mafanikio yenu ni robo tu na msimu huu kimataifa ni mwendo wa droo kama mlivyoanza ngao ya jamii,,,, wataalam wenu hawawezi tena ku update database pua mkia
Acha porojo, kisha uniambie umemfunga mwarabu gani anaeheshika kwa mpira hapa Afrika.

We taja hata team moja tu.
 
Waarabu gani hao unaowazungumzia, uliowapiga kwao?

Naamini unamaanisha Waydad, Raja, Ahly, Pyramid, Zamalek, Esperance, Belouzidad.

Nje ya hapo sidhani kama una haki ya kujiona bingwa dhidi ya waarabu, kwasababu haujakutana Big fishes ikilinganishwa na Simba Sc.
Yanga aliifunga waarabu wa El Merrek nje ndani, au hukuwa umezaliw?a
 
Big fish in a small pond washenzi kuwapiga waarabu ni ndani ya nchi tu na hadi mfanye figisu ndo maana safari hii al ahly akaja na kila kitu chake maana wanawajua mambo yenu,,,,,,,, nyie mafanikio yenu ni robo tu na msimu huu kimataifa ni mwendo wa droo kama mlivyoanza ngao ya jamii,,,, wataalam wenu hawawezi tena ku update database pua mkia
We waache watacheza mechi zao za kundi na wasipoangalia wataishia kupata point 5 tu


Zote kwa sababu ya droo
 
Mwanzo ilikuwa Mwarabu kaja na mapipa ya maji na chakula chake mtapigwa nyingi sana. Baada ya sare ya 2-2 lugha ikabadilika kuwa kule mtachezea za kutosha. Baada ya aggregate score ya 1-1 Al Ahly ni wabovu! Kweli Utopolo ni machizi wote. Yaani vichwani mwao yamejaa matope kama si makamasi.
 
Waarabu gani hao unaowazungumzia, uliowapiga kwao?

Naamini unamaanisha Waydad, Raja, Ahly, Pyramid, Zamalek, Esperance, Belouzidad.

Nje ya hapo sidhani kama una haki ya kujiona bingwa dhidi ya waarabu, kwasababu haujakutana Big fishes ikilinganishwa na Simba Sc.
Si ndo hapo ,,,afu linajisifu eti walimpga mwarabu kwao yanasahau na yenyewe hapa yalikojolewa viwil
 
Mwanzo ilikuwa Mwarabu kaja na mapipa ya maji na chakula chake mtapigwa nyingi sana. Baada ya sare ya 2-2 lugha ikabadilika kuwa kule mtachezea za kutosha. Baada ya aggregate score ya 1-1 Al Ahly ni wabovu! Kweli Utopolo ni machizi wote. Yaani vichwani mwao yamejaa matope kama si makamasi.
Wasingekuja na mapipa yao ya maji mngewafanyia figisu zenu wangetoka hata 2 1
 
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly

Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani ya timu, Kumekuwa na habari kwamba kuna migongano kwa upande wa strikers, Yani hats nafasi zitengenezwe vipi strikers wanavurunda kwa maksudi, magoli ya kufunga ni ya kusawazisna ama wakikosa namna ya kuvurunda, ndio maana hata leo mmeweza kuona nafasi takribani 40 zimetengenezwa lakini ni goli 1 tu limefungwa tena ni la kusawazisha ndani ya dakika 5.

Strikers kuna muda wanabaki na kipa lakini wanabutua nje (Tau akiwa kinara), wanafanya hivi maksudi na hata watengenezewe nafasi kiasi gani kufunga ni kwa kusawazisha pekee ama ikiwa ngumu kuvurunda.

Si ajabu hata usm alger (bingwa wa shirikisho) alifaidika na udhaifu huu wa Al Ahly, alifomfunga ikawa ni mwanzo mwisho kujiangusha ili Al Ahly asisawazishe

Al Ahly kwa sasa kuna migongano nfani ya timu upande wa strikers,
Muda utajibu yote, tuombe uzima
 
Waarabu gani hao unaowazungumzia, uliowapiga kwao?

Naamini unamaanisha Waydad, Raja, Ahly, Pyramid, Zamalek, Esperance, Belouzidad.

Nje ya hapo sidhani kama una haki ya kujiona bingwa dhidi ya waarabu, kwasababu haujakutana Big fishes ikilinganishwa na Simba Sc.
USMA ni mdogo?
 
USMA ni mdogo?
Sasa USMA nayo ni team ya kuogopeka huko kasikazini.? Wewe sema imeifunga lini miamba ya soka huko kasikazini.?

Ahly, Raja, Wydad, Belouzdad, Zamalek, Esperance, Pyramid.

Hizo ndio team babe huko uarabuni na hata wewe unajua, niambie uliwahi kumfunga nani hapo.?
 
Sasa USMA nayo ni team ya kuogopeka huko kasikazini.? Wewe sema imeifunga lini miamba ya soka huko kasikazini.?

Ahly, Raja, Wydad, Belouzdad, Zamalek, Esperance, Pyramid.

Hizo ndio team babe huko uarabuni na hata wewe unajua, niambie uliwahi kumfunga nani hapo.?
Kula chuma hicho
Screenshot_20231025-195711_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom